wanajamii wenzangu jamani hilo group la whatsap mbona halipo au wengine mpo?tuambieni basi ili tujue siku zinazidi kwenda na fulsa iliyopo ndo hii ilitujue
Habari!
Natangaza jamani nauza unga wa muogo ,kwa jumla na rejareja. ni mweupe mzuri kwa ajili ya afya njema.
unaweza ukapikia ugali
na ni substitute ya unga wa ngano. Nipo kibaha .karibuni sana.
Nimependa sana hii mada.
kwa kweli kwa binti kujitunza inawezekana had kuolewa.
kinacho hitajika ni kuwa na hofu ya Mungu.
na malezi bora kwa wakati yatasababisha kujitambua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.