Pata nguo za Mitumba, Grade A

Pata nguo za Mitumba, Grade A

0762111630 naomba uniunge kwenye group lenu la watsap
 
Kolo nzomu Niko Dodoma niunge mwenye grp .namba yangu ni 0717 707565
 
"HABARINI WANDUGU,

Nimekuwa kwenye hii biashara ya nguo za mtumba kwa miaka mitatu sasa, ila changamoto yake kubwa muda wooote huo ilikuwa kupata mizigo mibovu yani nguo mbaya mbayaaaa tu hapa bongo, but sikukuta tamaa nikakomaa kupitia hiyo changamoto sasa nimeitatua kabisaaaaa, napata nguo nzuri hadi mwenyewe nafurahi.

Kwa vile mzigo umekuwa mwingi.

Hivyo ukihiitaji nakuuzia kwa bei ya jumla (whole sale).

Mkiwa wengi mnaohitaji mzigo kwa sehemu moja au karibu karibu ndo inakuwa nyepesi kuupokea mzigo.

Nguo zitakazokuwepo ni:-
Tops
Blauzi
Gauni ndefu
Gauni fupi
Skin tait
Skin jeans
Gauni fupi
Sketi fupi
Sketi ndefu
Trench coats
Simple fashion coats
Pedo
Vibajaji nk.

Nguo ni aina zote yani cottoni na silk/shiphoni.

Mikoa ambayo itafikiwa kiurahisi ni; Dsm, Moro, Dom na Iringa
serious pm.
Habari...smahan namba zangu ni 0744080208...nna shida na.mitumba tunaeza kuongea
 
"HABARINI WANDUGU,

Nimekuwa kwenye hii biashara ya nguo za mtumba kwa miaka mitatu sasa, ila changamoto yake kubwa muda wooote huo ilikuwa kupata mizigo mibovu yani nguo mbaya mbayaaaa tu hapa bongo, but sikukuta tamaa nikakomaa kupitia hiyo changamoto sasa nimeitatua kabisaaaaa, napata nguo nzuri hadi mwenyewe nafurahi.

Kwa vile mzigo umekuwa mwingi.

Hivyo ukihiitaji nakuuzia kwa bei ya jumla (whole sale).

Mkiwa wengi mnaohitaji mzigo kwa sehemu moja au karibu karibu ndo inakuwa nyepesi kuupokea mzigo.

Nguo zitakazokuwepo ni:-
Tops
Blauzi
Gauni ndefu
Gauni fupi
Skin tait
Skin jeans
Gauni fupi
Sketi fupi
Sketi ndefu
Trench coats
Simple fashion coats
Pedo
Vibajaji nk.

Nguo ni aina zote yani cottoni na silk/shiphoni.

Mikoa ambayo itafikiwa kiurahisi ni; Dsm, Moro, Dom na Iringa
serious pm.

wanajamii wenzangu jamani hilo group la whatsap mbona halipo au wengine mpo?tuambieni basi ili tujue siku zinazidi kwenda na fulsa iliyopo ndo hii ilitujue
 
Kama huyo jamaa ameshindwa kuanzisha group ya watsapp ya wafanyabiashara hii mimi nalianzisha... Aliye serious anipe namba hapa au pm
 
Leteni namba naona wengi mlikosa mtu wa kuwaunganisha sasa nimejitolea kuwa unganisha wauza mitumba na wanaotaka kuanza kuuza mitumba
 
"HABARINI WANDUGU,

Nimekuwa kwenye hii biashara ya nguo za mtumba kwa miaka mitatu sasa, ila changamoto yake kubwa muda wooote huo ilikuwa kupata mizigo mibovu yani nguo mbaya mbayaaaa tu hapa bongo, but sikukuta tamaa nikakomaa kupitia hiyo changamoto sasa nimeitatua kabisaaaaa, napata nguo nzuri hadi mwenyewe nafurahi.

Kwa vile mzigo umekuwa mwingi.

Hivyo ukihiitaji nakuuzia kwa bei ya jumla (whole sale).

Mkiwa wengi mnaohitaji mzigo kwa sehemu moja au karibu karibu ndo inakuwa nyepesi kuupokea mzigo.

Nguo zitakazokuwepo ni:-
Tops
Blauzi
Gauni ndefu
Gauni fupi
Skin tait
Skin jeans
Gauni fupi
Sketi fupi
Sketi ndefu
Trench coats
Simple fashion coats
Pedo
Vibajaji nk.

Nguo ni aina zote yani cottoni na silk/shiphoni.

Mikoa ambayo itafikiwa kiurahisi ni; Dsm, Moro, Dom na Iringa
serious pm.
COntacts zako??? Pld
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom