Tangu j. tatu walimu jijini hapa wanakaguliwa vyeti.niwaulizeni wana jf hili zoezi na kwenu lipo?wanakagua yafuatayo:cheti cha fm 4,ualimu,leaving certificates na result slips.sababu wanataka kubaini vyeti feki.:yawn:
njia hizi zina madhara makubwa. mimi niliwahi kutumia vidonge vya kuhishia rangi ya ugoro nilikonda nikafanana mzimu, usiku nikilala nilikuwa najisikia kama nahishiwa pumzi.kama vile nakufa.mume wangu alikuwa anapata shida sana hamu ya tendo la ndoa ilinihishia.nilipoamua kuacha kutumia hivyo...
hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ccm imechoka kuhamasisha wanachama wake wanapigwa bao na cdm.msijidanganye heti ni ushabiki! majibu mtayapata 2015.:fish2:
:spy:akianani sensa ya mwaka huu serikali itegemee madudu huku mwanza karani wanafanya survey kwenye maeneo walopangiwa.wanayo ramani ya eneo cha ajabu hawajui hata kuitafsiri.wakaniomba niwasaidie.nikawambia waende kwa mwenyekiti wa mtaa. wakasema amewakwepa.mimi ni mwl ramani ile simple sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.