Recent content by Mama Subi

  1. Mama Subi

    Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo apata tuzo ya International Press Freedom Award ya CPJ

    Congratulations kaka Maxence Melo. Mwenyezi Mungu akuongezee nguvu na baraka tele.
  2. Mama Subi

    Ningekuwa Rais wa Tanzania kuna watu ningewavua Uraia kwa kukosa Uzalendo

    Nani amekuambia rais ana mamlaka ya kumvua mtu yeyote uraia? Hebu weka hapa hiyo ibara ya katiba ya nchi inayohusu mtanzania kuvuliwa uraia kwa kushabikia timu ya nchi nyingine. Watanzania ni watu huru. Babu zetu walipigania uhuru na waliunda katiba ya nchi ili sisi wajukuu tuishi kwa raha na...
  3. Mama Subi

    Members waliojiunga JF kuanzia 2006-2008 hadi leo hawa hapa, Je umemtambua nani aliye active hadi leo?

    Mbona mimi nipo tangu February 2008 na sipo kwenye hiyo list? Ni complete au selective list?
  4. Mama Subi

    TANTRADE wanatafuta wanunuzi wa Korosho

    Hakika wewe ni mmoja ya wajinga wakubwa kuwahi tutokea hapa nchini. Sasa wakulima wakilipwa ndio nini? Je, unajua ni hela ya nani imetumika (au itakayotumika) kununua mzigo ambao utaoza kwenye maghala bila ya mnunuzi? Serikali haikupaswa kabisa kuingia kwenye hii biashara kwa kukurupuka hivi.
  5. Mama Subi

    Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

    Hakuna kitu kama hiki South Africa. Sio Mandela Peace Prize wala sio hiyo Mandela Institute. Na huyo Dr. Paul Kananura aliyetajwa ni mrwanda ambaye anaendesha ka small organization sijui wapi huko, wala sio Johannesburg. It is such a shame that in this day and age of technological advancement...
  6. Mama Subi

    Hawa ndio mademu wakali kuliko wote Bongo

    Demu mkali ndio yupi? Anaelala na jamaa wengi au? Hao wote ni used and abused. Next..!
  7. Mama Subi

    M-Pesa hawajaongeza gharama za miamala

    Wana buy time tu. Tariffs watabadilisha very soon...
  8. Mama Subi

    Flat Sreen TV LG original 42'' Mpyaa inauzwa

    Ina valid warranty?
  9. Mama Subi

    Mtazamo: Madada hasa wasomi wanaongoza kwa kutojua mapenzi

    Yani hicho ndio kipimo chako cha mapenzi? Unahitaji maombi.
  10. Mama Subi

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Safi sana. Big Results Now!
  11. Mama Subi

    Rais John Magufuli leo ameifuta Bodi ya Hospitali ya Muhimbili

    Anaifuta vipi Bodi wakati imeshamaliza muda wake? Hapo sijaelewa.
  12. Mama Subi

    Range Rover ya Wema, matunda ya kampeni za CCM?

    Ile ya mil 400 Sinza haikua yake, alikodishiwa na brother man. Sasa hiyo unayoisema wewe ni ipi? Tuonyeshe basi. Hakuna kitu hapo!
  13. Mama Subi

    Range Rover ya Wema, matunda ya kampeni za CCM?

    Huyo Wema hata nyumba ya kuipark hiyo Range Rover hana. Si bora basi angalau angenunua nyumba uswahilini? Maana mil 200 hupati nyumba Masaki, Mikocheni hata Mbezi Beach! Grow up, Wema. Hiyo Range Rover inahitaji maintenance sasa na wewe kazi yenyewe ya kuungaunga!
Back
Top Bottom