jamani je St Thomas?! one yeah back nilikuwa mjamzito sasa sikuweza kula kabisa,yaani kama miezi miwili nilikuwa nimeshalost kama kg 5,nikaenda pale nikapewa dawa za kuzuia kutapika na at least nipate apetite,alinipa za one week alafu nikatakiwa kurudi hosp baada ya one week, nilianza kula kweli...