Recent content by Mama Ivy

  1. M

    AICC hospital

    jamani je St Thomas?! one yeah back nilikuwa mjamzito sasa sikuweza kula kabisa,yaani kama miezi miwili nilikuwa nimeshalost kama kg 5,nikaenda pale nikapewa dawa za kuzuia kutapika na at least nipate apetite,alinipa za one week alafu nikatakiwa kurudi hosp baada ya one week, nilianza kula kweli...
  2. M

    Awamu ya tatu ya JKT

    nimeongea leo na my young sis yupo kambi ya tabora nikidhani anarudi mapema lakini she told me kambi inamalizika tarehe 27/09
  3. M

    Aliyemuua bilionare Erasto

    what?! My God,i know that Shariff guy,ni mtu wa dini sana,ama kweli usimjaji mtu kwa kumwangalia kwa macho.
  4. M

    MUHIMU:Ambao hamjaona/mliokwiaha ona selection.zenu TCU

    jamani mdogo wangu yupo jkt ananisumbuaje!pls kama yapo tayari naomba muongozo wa cha kufanya.
  5. M

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    seriously,kwahiyo possibility ya kupata ujauzito tena ikoje?
  6. M

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    hi wapendwa, kama miaka miwili imepita nilifanyiwa operation ya multiple fibroids, Sina mtoto bado,ila nilipata ujauzito last year on june lakini mwezi wa nane ukatoka,sasa since then sijawahi kupata ujauzito tena,am too worried, na pia wasiwasi wangu mkubwa nilisoma somewhere kwamba fibroids...
  7. M

    Wanawake waliomuacha huwa hawaolewi

    ni Zablon,huyo rafiki yako inawezeka yeye ndie hajaamua kuachana na his past,kama una mke na watoto kwanini unaendelea kufuata maisha ya ma ex?! tell him to live his life,inaonekana bado anaumia na yaliyotokea.
Back
Top Bottom