jamani je St Thomas?! one yeah back nilikuwa mjamzito sasa sikuweza kula kabisa,yaani kama miezi miwili nilikuwa nimeshalost kama kg 5,nikaenda pale nikapewa dawa za kuzuia kutapika na at least nipate apetite,alinipa za one week alafu nikatakiwa kurudi hosp baada ya one week, nilianza kula kweli lakini baada ya one week kurudi nikaambiwa doctor kasafiri,basi kwa uoga ya kurudia ile hali nikaenda na zile karatasi za zile dawa zilizoisha kwa yule mhindi pale kwenye ile phamarcy pale rusda,si nikamwambia anipe na same same dawaz,bwana si acha aniambie kati ya zile dawa mbili nilizomwenyesha moja haijapitishwa kutumiwa na wajawazito,imagine! baada ya 2 weeks nikapata miscariage. yaani naichukia hile hosp kupita maelezo.