Wanawake waliomuacha huwa hawaolewi

Wanawake waliomuacha huwa hawaolewi

Umejuaje kama wanahitaji kuolewa, je kama walishaamua kuishi single? au labda bado wapo wapo hawajaamua kuolewa?
Huenda rafiki hujasoma hiyo post vizuri. Hebu jaribu kurudia tena kusoma utaelewa kabisa ninachoeleza.
 
Huenda rafiki hujasoma hiyo post vizuri. Hebu jaribu kurudia tena kusoma utaelewa kabisa ninachoeleza.
Umesema kwa kuwatazama, utajuaje mtu anachokiwaza kwa kumtazama? mwenye uwezo huo ni Mungu pekee
 
Duuh...mzee rafiki yako ana kitu ambacho na mimi kinanitokea sana...mimi kwanza wote nliowaacha wanataka turudiane....alafu umri unawakimbia....na huko walipokimbilia hawajakuta ndoa walizo ahidiwa....
 
hamna kitu kibaya kama kumuacha mtu bila sababu(awe mme/mke)ni vyema kabla hujaanza relation na ufikirie na si uache kabisa pindi ukishaanza,uzoefu uliopo unaonesha wenzi wengi waliacha wenzi wao bila sababub za msingi au waliishi bila kuolewa,waliolewa wamechelewa sana,au waliolewa na ndoa zao hazikudumu,kamwe si busara kumwacha mtu without reasons habari ya uhusiano ni serious this should get into our brains!

Dah umenigusa mie.mpaka i fil lyk cryng!
 
Dah umenigusa mie.mpaka i fil lyk cryng!
Pole sana ushaacha mtu nn?you can always start afresh.....ngoja ni-extend hii hoja kidogo kwa faida yetu wote.try to imagine mwanaume anaeanza mapenzi na mpenzi wake na wakafanya sex(siku hizi kufanya sex before marriage watu hawaoni ubaya wake but ni big deal though tunaichukulia poa sana)back to the topic.....bahati nzuri au mbaya Huyo mdada wa watu alijitunza so alikua bikra ,so wakati wa sex huyo mdada ni lazima atapata maumivu makubwa Wakati wa kuondoa hyo bikra so damu huwa inatoka(blood shading)hamna kitu cha kuogopa Kama kumwaga damu ya mtu bila sababu(japokuwa haipaswi kumwaga damu ya mtu hata kwa sababu).
tafakari hili wakati wa matambiko anzi hizo ziliambatana na umwagaji wa damu wakati wa kuweka maagano au wakati wa matambiko ya Kuomba kuondokewa mabalaa enzi za ujima.hoja ninayojenga hapa umwagaji wa damu wowote unaotokeaga huwa una madhara(impact)zaweza kuonekana au zisionekane lakini huwa zipo.
MWENYEZI MUNGU aliruhusu sex kwa wanandoa kwa sababu maalumu ambazo wengi wetu tunazijua na wakati wa sex ya wanandoa ya Mara ya kwanza(nazungumzia wanandoa ambao hawakuwahi kuwa na sex before)na kuondoa bikra na kufuatiwa na damu ya bikra ile huwa inaact Kama kuweka agano la mapenzi kati ya wanandoa wawili mpaka watakapotenganishwa na mauti.
hii ni hoja ndefu lakini la muhimu ni kuwa kamwe usianzishe mahusiano(love relationship)na mtu bila sababu za msingi(sababu za msingi za mapenzi yoyote ni upendo wa kweli si tamaa,ni mapenzi ya kudumu siku zote).hoja hii haikatai kwa namna yoyote ile kuachana lakini sababu za kuachana ziwe za msingi(sababu ya kuachana pia ijengwe/itokane na mapenzi) na zikubaliwe na watu,mapenzi yako bado yana nafasi ya kuwa mazuri haijarishi una mchumba/mwenzi mwenye tabia zipi,.
 
Wote wangapi?

Isijekuwa tunaongelea wawili ambao statistically speaking, halina ajabu yoyote.

Sio hata outlier
 
hamna kitu kibaya kama kumuacha mtu bila sababu(awe mme/mke)ni vyema kabla hujaanza relation na ufikirie na si uache kabisa pindi ukishaanza,uzoefu uliopo unaonesha wenzi wengi waliacha wenzi wao bila sababub za msingi au waliishi bila kuolewa,waliolewa wamechelewa sana,au waliolewa na ndoa zao hazikudumu,kamwe si busara kumwacha mtu without reasons habari ya uhusiano ni serious this should get into our brains!

"Reasons" ni zipi?

Maana hakuna anaeacha bila ya reason hata mmoja
 
"Reasons" ni zipi?

Maana hakuna anaeacha bila ya reason hata mmoja
Kila sababu si sababu(take it positively utaelewa).....sababu ya msingi(reasons) za kuanzisha mahusiano ni mapenzi,i.e mr /miss A kaanza mhusiano ya mapenzi na mr/ miss B.vile vile sababu za kuvunja uchumba,ndoa,mapenzi zinapaswa zijengwe / zitokane na mapenzi..Ni ngumu lakini inawezekana mlango ulioanzisha mapenzi ndio huo huo utumike kuvunja mapenzi(mlango wenyewe ni mapenzi).
hoja yangu hailengi kuharamisha Hali ya kuvunja mahusiano Bali hoja ni kuwa ukiamua kuvunja uhusiano mwambie/mwombe mwenzio akupe go ahead ya kuvunja uhusiano.any way hii hoja ni pana sana.nimalizie na kielelezo hiki
mkaka mmoja aliyekua kwenye mahusiano na mpenzi wake aliamua kuvunja uhusiano Baada ya kuna the girl he was in relationship with was very good kumzidi yeye(as yeye alikua na act za cheating,n.k)alipokaa akafikiria akaona huyo dada were not for him.its like alikua anamdhulumu.
 
Kila sababu si sababu(take it positively utaelewa).....sababu ya msingi(reasons) za kuanzisha mahusiano ni mapenzi,i.e mr /miss A kaanza mhusiano ya mapenzi na mr/ miss B.vile vile sababu za kuvunja uchumba,ndoa,mapenzi zinapaswa zijengwe / zitokane na mapenzi..Ni ngumu lakini inawezekana mlango ulioanzisha mapenzi ndio huo huo utumike kuvunja mapenzi(mlango wenyewe ni mapenzi).
hoja yangu hailengi kuharamisha Hali ya kuvunja mahusiano Bali hoja ni kuwa ukiamua kuvunja uhusiano mwambie/mwombe mwenzio akupe go ahead ya kuvunja uhusiano.any way hii hoja ni pana sana.nimalizie na kielelezo hiki
mkaka mmoja aliyekua kwenye mahusiano na mpenzi wake aliamua kuvunja uhusiano Baada ya kuna the girl he was in relationship with was very good kumzidi yeye(as yeye alikua na act za cheating,n.k)alipokaa akafikiria akaona huyo dada were not for him.its like alikua anamdhulumu.

Mtu akikwambia "I'm not happy with you, tuachane" utaona ni sababu ya msingi?

Akija mwengine akikwambia "I'm bored with this relationship, I need something new" utasemaje?

Ninachotaka kusema ni hivi, wewe kwako unaweza usione sababu ya msingi lakini kwa mwengine ni msingi mno

Hakuna universality kwenye hilo
 
Mtu akikwambia "I'm not happy with you, tuachane" utaona ni sababu ya msingi?

Akija mwengine akikwambia "I'm bored with this relationship, I need something new" utasemaje?

Ninachotaka kusema ni hivi, wewe kwako unaweza usione sababu ya msingi lakini kwa mwengine ni msingi mno

Hakuna universality kwenye hilo
I very much agree with you!lakini hoja ni hii Hapa maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge,au usivuke mto kabla hujapima kina chake.
mtu anyesema " i'm not happy with you tuachane" ni yule ambaye kwa sifa na tabia yake si mvumilivu,si mtu wa kuridhika. ,happiness is something you earned out of your deeds,mtu anayesema hivyo ni Yule anayetarajia furaha(happiness) yake(ya uhusiano wake)ijengwe na mtu mwingine na si yeye.
huyu anayesema "I'm bored with this relationship" sio aina ya mtu ataweza kutulia Kwenye uhusiano wowote hata kama uhusiano huo ungekua na nini.
love has its standards universally recognised ,love is not very cheap,love is investment of lifetime,investment of life and death,investment of blood and sweats,investment of....(you can just continue mentioning),lets invest wisely for our own benefit.
pamoja na changamoto zote za relationships tunauwezo mkubwa wa Kujenga mahusiano ambayoni long lasting!
mapenzi yanajengwa na hisia(hisia zinatabia ya fluctuations )you better fluctuate itaccordings!
 
I very much agree with you!lakini hoja ni hii Hapa maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge,au usivuke mto kabla hujapima kina chake.
Ndio umeshayaoga, umeona huyawezi. Usitoke kwa sababu mtu mwengine atadhani sababu yako haina msingi?

mtu anyesema " i'm not happy with you tuachane" ni yule ambaye kwa sifa na tabia yake si mvumilivu,si mtu wa kuridhika. ,happiness is something you earned out of your deeds,mtu anayesema hivyo ni Yule anayetarajia furaha(happiness) yake(ya uhusiano wake)ijengwe na mtu mwingine na si yeye.
Happiness kwa wengine ndio msingi wa maisha yao. Anaitafuta, akiona hawezi kupata na wewe, hana wajibu kuondoka. Wala haihusiani hata kidogo na kushindwa kuwa mvumilivu.

Mtu labda kaingia kwenye uhusiano, ila kila interest yake yeye, wewe mwanamme unamkataza. Au unaidharau

Kwanini asikukimbie?

huyu anayesema "I'm bored with this relationship" sio aina ya mtu ataweza kutulia Kwenye uhusiano wowote hata kama uhusiano huo ungekua na nini.
Yupo bored na huo. Labda yeye hawezi maisha ya ki-routine na wew mwanamme huwezi ila kila siku jambo lile kwa lile. Hata mlo kwa ratiba, kila Jumatatu ugali kwa samaki, Jumanne ugali kwa ndondo, Jumapili pilau. Hawezi kwako, lakini haimaanishi atashindwa kwa mwengine

love has its standards universally recognised ,love is not very cheap,love is investment of lifetime,investment of life and death,investment of blood and sweats,investment of....(you can just continue mentioning),lets invest wisely for our own benefit.
Hakuna kamwe sheria hizo kwenye mapenzi, universally. Umekusudia nini investment ya life and death?

pamoja na changamoto zote za relationships tunauwezo mkubwa wa Kujenga mahusiano ambayoni long lasting!
mapenzi yanajengwa na hisia(hisia zinatabia ya fluctuations )you better fluctuate itaccordings!
Uwezo upo, lakini sio anachoweza kufanya Asha, basi na Mwajuma anaweza hicho hicho.
Watu tunatofautiana.
Wengine wanaweza himili kipigo, wakati wengine hawawezi hata kufinywa tu

Tusijaribu kuweka sheria zetu kwa watu wote.
 
swala moja katika mahusiano ndugu tujifunze, ni kuwa makini kabla ya kumtamkia mtu au kumhitaji, viapo mnavyowekeana huwa hata huko juu vinawekwa, na kuheshimiwa, hata vitabu vya dini vinaeleza kua mwenyenzi Mungu hafurahishwi watu wakitengana, hivyo basi kabla ya kumtamkia mtu, jiulize kama, upo tayari kuingia katika mahusiano, unampenda kweli huyo mtu, na kamwe usiumize nafsi ya mtu, ukiona haupo tayari kuingia katika mahusiano, acah kabisa mpaka uwe tayari na fanya hivyo na mtu sahihi
 
Ndio umeshayaoga, umeona huyawezi. Usitoke kwa sababu mtu mwengine atadhani sababu yako haina msingi?

Uko sahihi hapo,ni busara siku zote kuuvunja uhusiano amabao hauwanufaishi wote wawili(mmojawapo wa wahusika). lakini siku zote sababu iwe ya msingi.
Happiness kwa wengine ndio msingi wa maisha yao. Anaitafuta, akiona hawezi kupata na wewe, hana wajibu kuondoka. Wala haihusiani hata kidogo na kushindwa kuwa mvumilivu.

Mtu labda kaingia kwenye uhusiano, ila kila interest yake yeye, wewe mwanamme unamkataza. Au unaidharau

Kwanini asikukimbie?


Yupo bored na huo. Labda yeye hawezi maisha ya ki-routine na wew mwanamme huwezi ila kila siku jambo lile kwa lile. Hata mlo kwa ratiba, kila Jumatatu ugali kwa samaki, Jumanne ugali kwa ndondo, Jumapili pilau. Hawezi kwako, lakini haimaanishi atashindwa kwa mwengine

Hakuna kamwe sheria hizo kwenye mapenzi, universally. Umekusudia nini investment ya life and death?


Uwezo upo, lakini sio anachoweza kufanya Asha, basi na Mwajuma anaweza hicho hicho.
Watu tunatofautiana.
Wengine wanaweza himili kipigo, wakati wengine hawawezi hata kufinywa tu

Tusijaribu kuweka sheria zetu kwa watu wote.

Madam nimeziona point zako na concerns ,you are practically right ,lakini tukumbuke kuwa mwisho wa siku tutaingia ktk mahusiano(mapenzi) na wanadamu wenzetu wenye upungufu fulani fulani ambao tutapaswa siku moja kuvumilia.pia ndoa ni muunganiko wa watu wawili wadhaifu(wenye dhambi,makosa fulani,vyovyote vile inavyoweza kuwekwa)walioamua kuishi pamoja kwa ukamilifu(they will be complementing each other)
i have to declare ,nilipokuwa natoa comment ilikuwa biased kwa upande mmoja(wanaume players).
mwisho wa siku mi naaamin mapenzi yanaweza kuwa ya mafanikio sana with less or no break ups kabisa.you know watu wanabreak very unreasonably(which is the base of my arguments).na solution za hizo comfortability na disparity in interests na maono zitzfutwe kablya ya yote,wengi wetu tatizo dogo tu option yake ni break up,hii siyo hata kidogo
 
You sounded 15kwenye ile post, nilitaka kusema ukifika 23 utaona ulichopost mwanzo kwamtazamo tofauti. Sasa kama uko 27, may be at 35, ukisoma post yako ya awaliutaona ni kichekesho cha aina gani.

27 mkuu.kwan vip?
 
Nawasalimia wana JF

Niko na rafiki yangu wa karibu sana amenisimulia historia yake ya uhusiano na wanawake (sasa hivi ameoa na anawatoto wawili mapacha).

Alinieleza wanawake wote walio muacha kwa vituko wote hawajaolewa. Kanitajia kweli wote wapo wapo tu na umri wao sasa unaenda, na ukiwatazama wanahitaji sana japo wapate wenzi wao.

Sikuelewa sababu gani au imetokea tu. Jamaa kusema kweli huwa anajari, lakini katika maisha yake wanawake zaidi ya watatu walimwacha kwa visingizio eti kwamba hana mkwanja wakutosha.

Japo kuwa rafiki yangu wakati ule alikuwa na kazi ndogo iliyokuwa inamwingizia kipato.

Nimejaribu kuongea naye kuwa hiyo huenda ni jambo la kiroho zaidi, inabidi aende akaongee nao na awasamehe na kuwaachilia.

Yeye kasema alishawasamehe. Lakini nikamsisitiza awatafute aongee nao ili waeze kufunguliwa. Maana kinachoonekana kile walichokuwa wanakihitaji mpaka leo hii hawajakipata. Na wanahaha sasa na sura zao zinaanza kupoteza mvuto.

Mwana JF hebu toa nawewe ushauri hivi hii ni kweli inaweza kutokea?

Nawasilisha hoja.



ni Zablon,huyo rafiki yako inawezeka yeye ndie hajaamua kuachana na his past,kama una mke na watoto kwanini unaendelea kufuata maisha ya ma ex?! tell him to live his life,inaonekana bado anaumia na yaliyotokea.
 
Nawasalimia wana JF

Niko na rafiki yangu wa karibu sana amenisimulia historia yake ya uhusiano na wanawake (sasa hivi ameoa na anawatoto wawili mapacha).

Alinieleza wanawake wote walio muacha kwa vituko wote hawajaolewa. Kanitajia kweli wote wapo wapo tu na umri wao sasa unaenda, na ukiwatazama wanahitaji sana japo wapate wenzi wao.

Sikuelewa sababu gani au imetokea tu. Jamaa kusema kweli huwa anajari, lakini katika maisha yake wanawake zaidi ya watatu walimwacha kwa visingizio eti kwamba hana mkwanja wakutosha.

Japo kuwa rafiki yangu wakati ule alikuwa na kazi ndogo iliyokuwa inamwingizia kipato.

Nimejaribu kuongea naye kuwa hiyo huenda ni jambo la kiroho zaidi, inabidi aende akaongee nao na awasamehe na kuwaachilia.

Yeye kasema alishawasamehe. Lakini nikamsisitiza awatafute aongee nao ili waeze kufunguliwa. Maana kinachoonekana kile walichokuwa wanakihitaji mpaka leo hii hawajakipata. Na wanahaha sasa na sura zao zinaanza kupoteza mvuto.

Mwana JF hebu toa nawewe ushauri hivi hii ni kweli inaweza kutokea?

Nawasilisha hoja.




hakuna ukweli hata kidogo. inategemea.

 
Back
Top Bottom