Recent content by mama dunia

  1. M

    Nataka Asali ya nyuki wadogo Kwa jumla

    Wazima Nahitaji Asali ya nyuki wadogo haraka kwa Bei Ya jumla Pm me kama unayo..kabla ya kununuliwa itapimwa
  2. M

    Hotel mbezi beach

    Hi wanajamii.kuna ndugu yangu anaulizia hotel na bei zake maeneo ya mbezi beach.hotel ambayo haiko mbali sana na barabara.
  3. M

    Mchele bora toka Mbarali Mbeya

    Mnauzajeuzaje..kilo bei gani
  4. M

    Kauli za sipigi kura, sina chama, ni yale yale tu, Je nini kifanyike?

    Jamani wana JF, Kuna hizi kauli zimekuwa zikitawala sana, hakika kauli hizi zinaboa sijui tufanye nini watu wa aina hii waachane na kauli kama hizi, utakuta mtu mzima kabisa anakwambia mi sipigi kura sioni haja ya kupiga kura, sina chama, watafanya nini kipya, ni yale yale tu nk, kweli inauzi...
  5. M

    Hoteli inauzwa bei poa, tamu

    Nilishalala hapa siku moja, pamepoa.. pazuri, kwanini mzee anaiuza?
  6. M

    Kiwanda kinachoprocess pamba na kuuza hapa Tanzania

    Kivipi sijaelewa vitu gani hivyo au mambo ya ndugu yenu Nkurunzinza nini heheh
  7. M

    Kiwanda kinachoprocess pamba na kuuza hapa Tanzania

    Thanks, Yaani nahitaji zile ambazo zipo tayari, yaani kama zile za hospitali, ila nahitaji nyingi,
  8. M

    Kiwanda kinachoprocess pamba na kuuza hapa Tanzania

    Hi Wadau, eti ni kiwanda gani wanaprocess pamba na kuzipack kwa wingi ready for use...mfano labda haya mahospitali makubwa yananunua wapi pamba zikiwa nyingi yaani mfano kilo mia na kuendelea mbele, pamba safi kabisa zikiwa nyingi kwenye mabox makubwa/mabello. i hope nimeeleweka wajameni... Thanks
  9. M

    Industrial area in Dodoma

    Hi wadau, Eneo gani ndani ya Dodoma ni special kwaajili ya viwanda? Na kwa anaejua hayo maeneo bei zao zikoje, na je tayari palishajaa hadi sasa kama unataka kuanzisha kiwanda hadi ukodi magodown ya watu au bado pako waziwazi mtu anaweza kupata eneo hata kama ni eneo dogo tu? Mwabeja sana
  10. M

    Mashirika ya wakulima Tanzania

    Agricultural council of tanzania - anzia hapo/i google TAHA - hii ni ya horticulture lakini Farm Africa ulizia huko utapata zaidi
  11. M

    Ushauri wangu juu ya wakiristo na usalama wao

    Mi nimeanza kujifunza salam za kiarabu..maana mhh ni sheeder hawa jamaa
  12. M

    Changamoto za Kilimo

    POle sana, hapo kwenye kuungua mama weee mhh hapo wengine tungelala kabisa, all the best
  13. M

    Ni yapi Matunda ya muda mfupi?

    Matukutu mringa ndo yapi hayo, sijawahi yasikia nzalendo
  14. M

    Ni yapi Matunda ya muda mfupi?

    Thanks Mkuu, hivi mazuri for business ni haya ya njano au yale mekundu
Back
Top Bottom