Jamani wana JF,
Kuna hizi kauli zimekuwa zikitawala sana, hakika kauli hizi zinaboa sijui tufanye nini watu wa aina hii waachane na kauli kama hizi, utakuta mtu mzima kabisa anakwambia mi sipigi kura sioni haja ya kupiga kura, sina chama, watafanya nini kipya, ni yale yale tu nk, kweli inauzi...
Hi Wadau, eti ni kiwanda gani wanaprocess pamba na kuzipack kwa wingi ready for use...mfano labda haya mahospitali makubwa yananunua wapi pamba zikiwa nyingi yaani mfano kilo mia na kuendelea mbele, pamba safi kabisa zikiwa nyingi kwenye mabox makubwa/mabello. i hope nimeeleweka wajameni...
Thanks
Hi wadau,
Eneo gani ndani ya Dodoma ni special kwaajili ya viwanda? Na kwa anaejua hayo maeneo bei zao zikoje, na je tayari palishajaa hadi sasa kama unataka kuanzisha kiwanda hadi ukodi magodown ya watu au bado pako waziwazi mtu anaweza kupata eneo hata kama ni eneo dogo tu?
Mwabeja sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.