Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 957
- 1,373
Habari ndugu wana jamii forum samahani nilikuwa nauliza kama kuna mtu anayafahamu mashirika ya kilimo au ya wakulima Tanzania Naomba anitajie kwani Nina research nataka kuifanya lakini sijajua nianzie wapi? Project yangu inaitwa Research on the market for Herbicides for Maize Crop in Tanzania
(Questionnaire for Co-operatives) sasa nataka kuyajua hayo mashirika ndipo nianzie hapo asante sana.
(Questionnaire for Co-operatives) sasa nataka kuyajua hayo mashirika ndipo nianzie hapo asante sana.