haya ndo maisha bora kwa kila mtz,ata cjui haya maisha yanakoelekea.vitu vimepanda bei na mishahara yenyewe midogo na bado wanaichelewesha.mi mwenyewe mshahara had leo hakijaeleweka
Hello kilimasera,nimejaribu kuingia kwny io link apo bt cjaona details za iyo kazi ya LDSP school officer ya NGO ya intervita onlus.nahitaji email yao plz
nashkuru sana voice of reason.ata cjui niwashukuru vp jmn kwa ushirikiano mlionao,ila thanx 4 everything,may GOD bless u more.ntayafanyia kazi mawazo yako
nashkuru sana Qadhi kwa mawazo yako mazuri kbs.am hap kuingia ktk jf mana wana jf are so cooperative.thanx 4 everything.
Sasa Qadhi unaweza ukawa na idea wapi zinauzwa izo incubator ndogo pamoja na kifaa cha kuangalia mayai na pia zinauzwa kwa bei gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.