Ikifika muda wa wanafunzi kumaliza elimu ya msingi.Mimi huwa naona ndio kipindi cha shule binafsi kuchuma pesa ,za interview na pre form one.
Mimi watoto wangu huwa hawaendi hizo pre form.Ni muda wao wa kula,kupumzika,kucheza na kunisaidia kazi hapa nyumbani.Hata kama nikiwa na dada wakazi nampa...
Mshahara elfu 50 ,kula kulala kwa tajiri .Hapo hatujahebu milo yake mitatu kwa siku,sabani ya kuoga na kufulia,matibabu akiugua gharama zote tajiri.
Elfu 50 +gharama zote inazidi huo mshahara.
Mtoa mada umengalia mshahara tu hukufikiria gharama nyingine anazotoa tajiri.
scatec sehemu ninayofanyia kazi watu wanalia.
walivyoongia kichwa kichwa na wamepigwa za kichwa haswa.
Yaani hajifunzi mie nimeona poa tu,maana watu wanapenda kwa sadala.
Ukatili kwa wanyama siungi mkono kwanza ni dhambi.
Mbwa mbona rafiki wa binadamu,shukuru sana Mungu huyo jamaa inawezekana ni mgonjwa wa akili.hilo tofali lingeweza kutua hata kwenye mwili wako.
Ni vyema ulivyoamua kuvunja ushikaji na yeye.
Wataalamu wanavyosema magonjwa ya akili yanaongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.