Recent content by malyusajr

  1. M

    TANZIA Wakili wa serikali Godfrey Wambari hatunaye tena!

    Siyo kazi ya wakili kushinda kesi,ni kazi ya wakili kuisaidia mahakama kufikia au kufanya maamuzi ya haki na yasiyo na chembe ya uonevu
  2. M

    Kosa la Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo - Uwajibikaji wa pamoja

    Askofu siyo mteule wa papa, askofu ni mteule tu miongoni mwa mapadri ambaye baada ya kufanyiwa vetting ya siri,jina lake hua approved na baraza la maaskofu then linapelekwa kwa papa.
  3. M

    Kosa la Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo - Uwajibikaji wa pamoja

    Kadinali ni cheo kinachoishia kwenye viunga vya vatican tu,Pengo yeye siyo sauti ya kanisa Tanzania ila ni sauti ya kanisa katoliki jimbo la Dar es salaam,kama si usaliti na ubinafsi,ni ipi sababu iliyo mfanya aongee yale??? Kwamba hakujua uzito wa nafasi yake kama kiongozi na madhara ya kauli...
  4. M

    Zijue sababu za kustusha zinazosababisha wilaya ya Njombe kuongoza kwa UKIMWI Tanzania

    Hata kama dhamira yako ni kuelimisha,ulicho kisema ni umezidisha kiwango,mimi ni mzaliwa wa njombe na mkazi wa njombe,hayo unayoyasema ni stori za kijiweni tu hazina uhalisia,wenye pesa kutembea na watoto wadogo yapo kila mkoa hata ulaya yapo pengine hata ndugu zako wapo wanao fanya hivyo kwa...
  5. M

    Nyoka atishia maisha yangu Butiama

    Daaahhh nimemkubali huyu jamaa,AN umezaliwa Africa kimakosa kabisa,hatujui kutumia ubongo wako kwa kiwango kinachotakiwa
  6. M

    Njombe: BVR yakwama tena, rushwa yatawala vituoni

    Asa kama una ishi uwemba unashindwaje kujua kama akina mayemba ni wazawa wa njombe??? Hua tunawaita Semayemba banaa
  7. M

    Njombe: BVR yakwama tena, rushwa yatawala vituoni

    Kiukwel watu wa njombe wameamka hasa vijana na watu ea rika la kati,tangu day 1 watu ealikua wana fika vituo vya kujiandikisha saa 12 asubuh na wanashinda hapo had jioni wanapofunga, mimi binafsi ilinichukua siku 2 kukamilisha kujiandikisha
  8. M

    Baada ya Mangula na Kagenzi kutuhumiwa kumlisha Sumu Dr Slaa, CCM fahamu kuwa

    Basi na wewe mzee Gentamycin zile dukuduku zako umfikishie Kombe mwenyewe kama alikutenda hivyo
  9. M

    Taratibu za kufungua taasisi ndogo ya kutoa mikopo ni zipi???

    li Hapa siyo jukwaa lake husika lakini acha nikupe clue 1.Sajili kampuni (limited company) 2.Leseni ya biashara(wizara ya. biashara na viwanda)watakupa na taratibu zote za kufuata. 3.TIN No. TRA karibu na eneo la biashara yako 4.VAT from TRA 5.Business commencement
  10. M

    Wanafanya nini hawa?

    Ha ha ha eti vibazazi vikinda Mshana jr bwanaa daaahhh
  11. M

    Kilima Nye@%e

    Ha haaaaa haaaaa hadanganywi mtu hapa
  12. M

    Si kila king'aacho ni dhahabu vingine ni chupa tu

    Mmmh Hapo tungeshikwa wengiii
  13. M

    Kwa wale ndugu zangu wa Iringa

    Mshana jr nitake radhi kabla hujapokonywa kiburudisho ha ha
  14. M

    Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

    Ni mpuuzi tuu huamini anayeamini na kuabudu tofauti na dini koloni (ukristo na uisilamu) basi ni mpagani au mchawi kitu ambacho siyo kweli,hatuendelei kwa sababu ya kukataa asili yetu na kuamini alichosema mzungu na mawakala wake
  15. M

    Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

    Ni mpuuzi tuu huamini anayeamin tifauti na dini koloni (ukristo na uisilamu) basi ni mpagani au mchawi kitu ambacho siyo kweli,hatuendelei kwa sababu ya kukataa asili yetu na kuamini aluchosema mzungu na mawakala wake
Back
Top Bottom