Kilima Nye@%e

Kilima Nye@%e

unajuaje labda cause ya nyege ni gravity.....thinking out lout....in serious note bana kile kilima wengine kina historia mbaya nakumbuka nilivyokua secondary ..jamaa zangu walipataga ajali ikawaua kama wawili pale walikua wanatoka concert la akon...dah watu walikutwa wamenasa kwenye hivyo vimiti...may their sour rest in peace

pole sana mkuu kwa kupoteza rafiki zako kwa ajali ya gari pale kilimani.hilo la gravitational force kwani tumebisha?!,wala hatujabisha.genye zipo pale pale.
 
unajuaje labda cause ya nyege ni gravity.....thinking out lout....in serious note bana kile kilima wengine kina historia mbaya nakumbuka nilivyokua secondary ..jamaa zangu walipataga ajali ikawaua kama wawili pale walikua wanatoka concert la akon...dah watu walikutwa wamenasa kwenye hivyo vimiti...may their sour rest in peace

Naikumbuka hio..
One of my frnd alikua ndan ya hio gar..
But ye alinusurika.
 
Naikumbuka hio..
One of my frnd alikua ndan ya hio gar..
But ye alinusurika.

labda pana mapepo pale ndio yanayo sababisha ajali,au madereva wakishafika pale wana concetrate zaidi ktk zile feelings kuliko usukani.anyway hizo ni assumption zangu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom