Recent content by Malpighian

  1. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Safina ya Nuhu ni mfano bora wa ukombozi kupitia kwa Yesu Kristo

    Yesu Kristo ni njia ya kweli na uzima.
  2. Malpighian

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video hii imerekodiwa Uyole mkoani Mbeya

    Uyole hakuna misikiti iliyoonekana hapo nyuma kwenye hiyo video.
  3. Malpighian

    JamiiForums Tanzania 'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

    The Great Israel
  4. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Kwahiyo mdogo wako ameamua kubemenda mtoto. Ndani ya miaka 2 watoto wawili.
  5. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Tony Kapola naye kaingia kwenye mfumo kama Adam, Samson, mchungaji Hananja nk..! Amekwisha

    1 Timotheo 2:11-14 11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna. 12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. 13 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye. 14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa...
  6. Malpighian

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo Kikuu Huria (Open University) hawanipi ushirikiano ninapoulizia kuhusu kufanya research

    Hata mimi nafanya masters OUT, sasa sijajua labda ni kwa upande wenu ila naona kama Kuna vitu vingine vya kufikirisha sana.
  7. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Duh hii imekaaje

    Kwa huu mwandiko, futa hapo ulipoandika ni mkuu wa kitengo
  8. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Kama kuna mwisho wa dunia na kwenda mbinguni kwanini iwe kwa watu tu isiwe na kwa viumbe wengine?

    Mwanzo 9:4-6 4 Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile. 5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu. 6 Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na...
  9. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Kama kuna mwisho wa dunia na kwenda mbinguni kwanini iwe kwa watu tu isiwe na kwa viumbe wengine?

    Wanyama na viumbe ulivyovitaja hapo..viliumbwa ili vitawaliwe na mwanadamu, Ila mwanadamu aliumbwa atawaliwe na Mungu. Ukiielewa hii sentesi hautakuwa na maswali zaidi.
  10. Malpighian

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo Kikuu Huria (Open University) hawanipi ushirikiano ninapoulizia kuhusu kufanya research

    Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba tangu ameanza chuo mpaka anabakiza research hajawahi wasiliana na uongozi wala hao ma CR? Huyo hajafuata taratibu husika na ndio maana niliuliza hivyo. Course works na mitihani alifanyaje?
  11. Malpighian

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo Kikuu Huria (Open University) hawanipi ushirikiano ninapoulizia kuhusu kufanya research

    Wakati unabadilisha sehemu unayotakiwa kufanyia research uliwasiliana na msimamizi wako? Mara ya mwisho kuwasiliana na msimamizi wako ilikua lini?
  12. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu hakumlaani Adam alipokula tunda la katikati katika bustani ya Eden?

    Nashukuru mkuu ila siamini katika kusomea biblia kwasababu wapo waliosomea mpaka PhD na bado ukiwauliza maswali ya logic kuhusu biblia hawana majibu.
  13. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu hakumlaani Adam alipokula tunda la katikati katika bustani ya Eden?

    Hapo pa adamu kuomba msamaha umetupiga mkuu. Hakuna sehemu kwenye biblia adamu aliomba msamaha. Laiti kama angeomba msamaha haya yote tusingepitia.
  14. Malpighian

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu hakumlaani Adam alipokula tunda la katikati katika bustani ya Eden?

    Yalikua magumu ila hakulaaniwa. Kuna utofauti wa kulaaniwa na kupitia maisha magumu.
Back
Top Bottom