Recent content by Malouda

  1. M

    Naombeni msaada kwenye tatizo la PHP

    Kwanza kibisa cheki hiyo function yako inatakiwa iwe fopen badala yake umeandika @fopen!!!!
  2. M

    How to unlock huwaei y300 Za Tigo

    Waweza kutumia Dc unlocker ambayo ni software ya kulipia online,but kama unaweza pata crack yake its okay,but sidhani kama crack ya version ya Dc unlocker inayoweza kuanlock hiyo simu imekwishatoka.kwanza inatakiwa uwe na uwezo wa kulipia online,pili download software ya dc unlocker ,tatu...
  3. M

    Programming kwa wanaoanza...mawazo yenu!!

    Kwanza mm ntatofautiana na wote wale waliokushauri kuanza na c,c++,c# or java.... But niko upande wa watu wale waliokushauri kuhusu python na kama umeanza html bac pia ungeanza na php or ruby coz pia hizi ni rahisi kujifunza na pia zinatumika kwenye web development.....but language kama c or c++...
  4. M

    Kutana na Mtoto wa kitanzania anayetengeneza Application za simu na kuwauzi Nokia

    Ila yoye ya yote hata kama katumia epress kudevelop but kwa umri wake mm nampa big up sana...........
  5. M

    Operation mchakamchaka yaipiga bao M4C

    Nilikuwa nampa heshima huyu wanaemwita prof....ila sasa nimegundua kuwa huyu jamaa hafai kabisa....huyu jamaa ni mdini mdini mdini vibaya mno......hafai hata kupewa uenyekiti wa mtaa..halafu ni kitu kinachochekesha eti mchakamchaka iipuku m4c hahahahaha ni kichekesho..........
  6. M

    Windows phone vs android niende wapi?

    Wakuu mm nipo zaidi kwenye upande wa Android coz hii os kwanza ni opensource hii inamaanisha kwamba mtu yeyote mwenye uwezo anaweza kuicustomize iweze kuingia kwenye handset yake kama unavyoinstall window latest version kwenye komputer yako!!!!its totally possible!!!mm binafsi ninatumia the...
  7. M

    Msaada juu ya bootable usb.

    Mkuu kama unataka kutengeneza linux bootable bonyeza hapa,na kama unataka kwa ajili ya windows 7 or 8 bonyeza hapa
  8. M

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Kumbe hata kiswahili hujui!!! Ni porini sio polini!!
  9. M

    Alternatine to IDM

    Ninachoipendea zaidi DTA ni kwamba haili internet bandwidth yako yote,ukiwa unabrowse itajistabilize kulingana na bandwidth inayotakiwa kukuwezesha kubrowse pages....
  10. M

    Alternatine to IDM

    Wadau kwa wale mnaotauta a complete alternative to idm solution imepatikana na hii ni kwa watumiaji wa firefox!!! kuna addon ya firefox inaitwa DownThemAll!! hii addon itakuwezesha kufanya vitu vingi ambavyo ungeweza kufanya na idm including fastdownloads!!!! resuming na much more!!! na ni...
  11. M

    Sipigi kura/ Sitapiga kura ktk uchaguzi wowote katika ngazi yoyote ile

    Watu wengine bana......watu kama nyinyi ndo mnaovuta maendeleo nyuma yaan kufikiri kote ukaamua kuja kupost kitu cha kijinga humu!!
  12. M

    nokia wazindua lumia phones 2 kucompete na android za bei rahisi

    Nawakubali Nokia na window phones zao ila kinachonisikitisha ni kutokuwa na function ya kutransfer documents kama pdf kutoka kwenye computer kwenda kwenye simu!!! ukitaka kutransfer documents basi ni lazima uapload kwenye either email,skydrive dropbox n.k then udownload tena kwenye simu yako!!!
  13. M

    Msaada: nimenunua kitu online ninahitaji kujua hapa TZ unapokelea wapi?

    Asante mkuu kwa somo...kweli mtu unaweza kuingia chaka kama unavamia game!!!
  14. M

    Msaada: nimenunua kitu online ninahitaji kujua hapa TZ unapokelea wapi?

    Mkuu mi natumia Ebay ya Marekani,pale naona resellers wengi hawapendi kuship vitu vya Elecronics kwenda nchi hususan za Africa,nilikuwa naomba kama una majina ya resellers ambao huwa wanaship to Tanzania.
  15. M

    Msaada: nimenunua kitu online ninahitaji kujua hapa TZ unapokelea wapi?

    Mkuu mimi nataka kununua simu ebay lakini resellers wengi huwa hawaship kuja bongo!! je unaweza ukananipa majina ya resellers ambao wanaweza ship simu zao kuja bongo?
Back
Top Bottom