Programming kwa wanaoanza...mawazo yenu!!

Programming kwa wanaoanza...mawazo yenu!!

Mkuu namimi nina lengo la kujifunza kama la mleta mada, kwa hio ntakutafuta siku za mbeleni kwa msaada zaid

Elimu haina mwisho mkuu....tujifunze maana ni kitu iko so interesting!!! Ni wewe na pc,intenet na mda wako tu!!
 
Waweza anza na python - high level object oriented - Python Programming Language – Official Website, Python official website. Waweza move on kujifunza Perl, PhP, Java, etc., kutegemeana unataka kufanya nini. Python inafanya almost kila kinachofanywa na java, Perl, PhP na zaidi. Pia ina kupa uwezo wa kuimport or "to borrow/incorporate" libraries kutoka languages zingine kama C++, Java, Matlab, etc. Vilevile kuna variants za python kama Jython - inakupa java-like interface. Python ni very powerful lakini ni slow kuliko kwa mfano C++.

Kuna C++, C, C#, Fortran etc.,. C++ recommended for heavy programs - it's fast.

Kwa kifupi inategemeana na unachotaka kufanya:

Powerful industrial programs, Engineering apps, Numerical and scientific computations, Games, Web apps (dynamic web pages, web servers) , Cloud computing, Communication and Networking, etc.,

Nenda DaniWeb - Technology Publication Meets Social Media, http://stackexchange.com/,Stack Overflow upate challenges zenye akili ndio kichwa chako kikae sawa.

NB: Kwa C++ unaweza kuanza na kitabu kinaitwa Accelerated C++, Practical Programming by Example by Andrew Koenig and Barbara E. Moo.

Kwa Java: Teach Yourself Java in 21 Days by Laura Lemay & Charles L. Perkins.
 
Kwanza mm ntatofautiana na wote wale waliokushauri kuanza na c,c++,c# or java.... But niko upande wa watu wale waliokushauri kuhusu python na kama umeanza html bac pia ungeanza na php or ruby coz pia hizi ni rahisi kujifunza na pia zinatumika kwenye web development.....but language kama c or c++ ni language ngumu sana kama unaanza kama begginer coz utakutana kwa mfano na vitu kama memory management ambayo kwa language kama c# inakusaidia kwenye vitu kama hivyo.....cha muhimu ni kuanza na langiage rahisi ambayo unaweza ukaimaster haraka na ukatengeneza project inayoeleweka the ukamove to more complicated languages but nashauri baada ya php or ruby mov to java or c# coz ni languages ambazo zinatumika sana these days....but kama uko interested kwenye kuprogram vitu kama microcontroller then move to c++ right away....but sikushauri umove kwenye c coz c is not an object oriented language....search google "object oriented language" utapata maana yake.....kuna resource nyingi sana za kujifunza both books na vitabu online na unaweza ukafika mbali kama uko serious just kwa miezi nane though sio master but we can call you a "programer"......
 
ivi kati ya wixwidgets na qt ipi bora zaidi mkuu. Nataka nisome moja kati ya hizi.

kila programming language imetengenezwa kufanya kazi fulani kwa hiyo inabidi wewe uwe specifi unataka kufanya programming ya vitu gani then utapata mwazo..

Nakumbuka kipindi naanza kujifunza programming kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa manake nilikuwa na list ya language nyingi sana na kila language ina-clain kuwa ni easy to learn na powerful lakini badaye nligundua madhaifu na ubora wa language hizo then nikafanya uamuzi.

Cha msingi elewa kwanza unataka kufanya nini then utapewa language zinazoweza kufanya hayo unayotaka halafu fuatilia review then fanya uamuzi.
 
kwenye c programming nimefikia part inaitwa variables declaration... kila nikicheki tutorals mbali mbali naona hazinitoshelezi...kama mnafahamu napoweza pata msaada zaidi au kama mnamawazo yenu ntashukuru....
NB: sitaki kukwamia hapa maana lengo ni kuimaliza hii language na kuanza nyingine, na kipindi hiki ndo nafasi nnayo...
cc😡elmagnifico na Malouda na wengine...
 
Kuna vitabu vinaitwa MALIK C++ na mastering in programming viko fresh sana me ndo vimenisaidiya mpaka nikaweka banda la kozi ya C++!vitafute kwe google uvidownload!au ka vp n2miye email ya ko nijarib kuku2miya ka vitakubali coz nadhan vinazidi 25MB
 
Kwa uzoefu wangu, nakushauri uanze na C kwa sababu itakusaidia sana kujifunza C++ na Java. Ila hii haimaanishi kwamba sikubaliani na walichosema wenzangu kwamba unatakiwa kufahamu unataka lugha kufanya kitu gani. Uki'master' one programming language vizuri inakuwa simple sana kujua zingine. Mfano mimi nilianza na Pascal (now dead)>c>java na before php nikasoma html. Soma online tutorials na kila programming language ina website ya kukusaidia. Kama unaweza kutafuta vitabu ni jambo zuri zaidi. Tafuta vya Deitel eg. C how to program, java how to program etc.
 
anza na c programming kama wewe ni beginner then soma c++ kama watu wanavyoshauri
 
Anza na C programming kwa upande wangu 🙁
 
Ukitoka hapo tafuta OBJECT ORIENTED YEYOTE kati ya JAVA au C++🙁
 
Back
Top Bottom