Wanaosema huenda hiyo mimba si yangu nakubaliana nao kwa kiwango kikubwa. Huyu binti tayari ashaanza kuniomba pesa eti akaitoe...kisa? asema naonekana ni kama sitaki kujukumika.
Huyu nitamzimia simu na nimpotelee
Hii noma bratha, usiwahi mshauri rafikiyo aachane na mpenziwe hata awe na tabia chafu vipi.
Atakuchukia na kukuona mwenye wivu usiye mtakia mema katika uhusiano wake.
Baya zaidi atamwambia mwenzake kuwa wamshauri amwache
Nimekuwa nikila uroda na demu wa rafiki wangu kwa muda sasa. Hili limekuwa likifanyika kila rafiki wangu anapoingia zamu ya usiku pale kazini pao.
Huyu demu wake hupenda pesa na anasa. Nilianza kumtongoza kisirisiri usiku mmoja tulipokuwa katika kilabu fulani mjini tukilewa. Katika zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.