Recent content by malogi1976

  1. malogi1976

    TANESCO TABORa

    Mvua ilikuwa si ya muda mrefu na bora wangetupa taarifa hawana communication wenyewe kwa wenyewe.
  2. malogi1976

    TANESCO TABORa

    Mimi ni mkazi wa tabora TANESCO tbr kwa kweli wanatuangusha sana tumetowa ripoti shida ya nyaya toka Jana mpk leo hawajarudi.kifupi walichelewa kufika wakaangalia na kuzima umeme ila mpk siku ya Leo hawajarudi.Nyaya hizo hizo ziliwaka moto kipindi mvua ilikuwa inaonyesha.
  3. malogi1976

    Kwa TRA Tabora: Nililipa SDL mtandaoni lakini kwa sasa inaniambia payments of tax overdue

    Ninahitaji ushauri, Mimi ni mfanyabiashara hapa Tabora na huwa nalipa SDL ya wafanyakazi bila kuwachelewesha malipo ya mwezi. Tulivyoenda lipa SDL ya mwezi wa kwanza tukalipa na nikaambiwa malipo ya mwezi unaofuata tutalipa online tumefanya hivyo ila sasa ukiingia online ninaona imeandikwa...
  4. malogi1976

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Hata kama tayari unayo unapona kwa baking soda? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. malogi1976

    Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

    Sina mpango wa kumpigia kura mtu aisee si kwahaya niliyoyaona Sent using Jamii Forums mobile app
  6. malogi1976

    Serikali njoo msome hii hapa tafadhali

    WENZIO NGUVU HATUNA :p
  7. malogi1976

    Serikali njoo msome hii hapa tafadhali

    NA CORONA HII BADO UNAWAZA NGONO HAHAAAAA
  8. malogi1976

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    WANGETANGAZA NCHI NZIMA KUVAA MASK MKUU WA MKOA TABORA UPO?BARABARA YA TORONTO WAMACHINGA HAKUNA CHA MAJI WALA MASK
  9. malogi1976

    Serikali njoo msome hii hapa tafadhali

    acha uhuni kipindi cha corona lol:rolleyes::p
  10. malogi1976

    Serikali njoo msome hii hapa tafadhali

    tabora kuna barabara mpya mkuu wa mkoa ameiita toronto mwaka jana aliita wamachinga wamejipanga hapo katikati ya mji kila jumamosi na jpili watu kujazana mpk huruma wameweka maji ya kunawa leo yapo kesho hakuna wangefikiria jinsi ya kutatuwa hili aisee hata kuwapa eneo kubwa wasikaribiane ...
  11. malogi1976

    Janga la Corona: Serikali itoe tamko kuhusu wanafunzi kurudi shule au kuongeza muda mapema iwezekanavyo!

    Muongo huyuuu siyo millardayo huyo hapo ni double r siyo dayo wetu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. malogi1976

    Janga la Corona: Serikali itoe tamko kuhusu wanafunzi kurudi shule au kuongeza muda mapema iwezekanavyo!

    Hii itakuwa mtu katengeneza nimecheki kwa millardayo hakuna daaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. malogi1976

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Ngovongo, Wewe unajikarantini wenzio hawafanyi hivyo siku ukiambiwa watoto wanarudi shule watakutana na vitoto vingine ambao wazazi walikuwa hawajikarantini Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom