malogi1976
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 297
- 168
Mimi ni mkazi wa tabora TANESCO tbr kwa kweli wanatuangusha sana tumetowa ripoti shida ya nyaya toka Jana mpk leo hawajarudi.kifupi walichelewa kufika wakaangalia na kuzima umeme ila mpk siku ya Leo hawajarudi.Nyaya hizo hizo ziliwaka moto kipindi mvua ilikuwa inaonyesha.