Recent content by MALINYIKWE2

  1. M

    Waziri gani katika awamu hii ya tano anaweza kukumbukwa kwa utendaji wa uzalendo?

    Mwigulu naye kama anapwaya maana wizara kubwa na imebeba matumaini ya watanzania wengi
  2. M

    Haya ndiyo maandishi ya kwenye Sanamu la Askari

    Dogo ametuaibisha sana wa kule
  3. M

    Bashe aanza kuwa kituko

    Tatizo aliupata ubunge kwa mbwembwe nyingi hadi akasahau wajibu wake
  4. M

    DC Polepole aenda Supermarket na Kundi la Polisi

    Tuwaache wateule wa Rais wapige kazi walioelekezwa ila bado kazi ipo wasichukulie kila kitu kutumbua na kujisifu ndo utendaji wa kazi
  5. M

    Mada moto live on Chanel Ten: Kuzorota kwa mizigo bandarini

    Mkinga namkumbuka alituhamasisha wana vyuo kugoma kudai haki zetu
  6. M

    Vyombo vya habari Tanzania na Uchagizi Zanzibar!

    Bila uoga na aibu wanaandika Kuwa Kashinda kwa zaidi ya 91% it's shame indeed
  7. M

    Nape Nnauye kanishangaza sana!!

    Nahitaji TBC iwe chombo kinachotazamwa na watanzania wengi tofauti na sasa wazee tu
  8. M

    Siri ya 'upole' wa Rais Magufuli BOT

    Ila wakuu kwanini ikatokea Kuwa watoto wa vigogo tu wanapata fursa BOT halafu tunawatukuza hao viongozi wakati kulikuwa na watanzania wengi pia wenye sifa kama zao
  9. M

    Hebu tuwe serious: Lugha ya Rais inatusaidia nini?

    Muhimu kazi ifanyike na wananchi wapate huduma muhimu
  10. M

    CCM wanatumia watoto wadogo kwenye siasa

    Dah! Kazi ipo
  11. M

    Picha: Lowassa Kanisani Leo

    Hiyo pouwa sana. tatzo si kwenda kanisani wala msikitini, sema watu wakikuamin watakuchagua viva LOWASSA
  12. M

    Picha: Lowassa Kanisani Leo

    Hiyo pouwa sana. tatzo si kwenda kanisani wala msikitini, sema watu wakikuamin watakuchagua viva LOTWASSA
  13. M

    Serikali kuanza kulipa madeni ya walimu

    nadhan mshahara wa mwez october utatoka kabla ya tareh 22 ili jamaa wapate kura
Back
Top Bottom