Kijana alikuwa bado mdogo alikuwa na nafasi bado ya kupata maisha aliyoyahitaji.Niwahase nyie vijana mlipo humu wakati mwingine mambo yakiwa magumu msikimbilie kukatisha maisha yenu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwa tunasemaga swela .hatupangiwi kabisaaa. labda nimkumbushe raisi wetu wa Iringa kuwa Msigwa hakuwahi kuwa mwanasiasa sisi ndio tulitaka awe mbunge baada ya chama tawala kutulazimisha tumchague Mh Monica Mbega sisi Tulimtaka Mwakalebela .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie akitaka ccm ishinde ajaribu kusaidia upatikanaji wa hati za makazi yetu kwa sababu huu ndio ugonjwa sugu la sivyo tutaendelea Kula pesa zenu afu tunabaki na mchungaji wewe.asikuambie mtu iringa sisi tunataka mtu na siyo chama.[emoji111][emoji111]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa chama cha walimu ndipo kinatakiwa kimsaidie huyu mwalimu sithani kama alikusudia kuuwa.Angepewa kifungo cha miaka 3 .Ikawa fundisho kwake na walimu wengine wenye tabia kama zake.Kitendo cha kunyongwa mpaka kufa kitawafanya walimu wengi wawe waoga hapo hawataweza kuwasaidia wale watoto...
Sema toka Mosha akiwa utingo wa magari ya kubeba mafuta wakati huo alikuwa anafanya kazi ya ukonda pale kituo cha mafuta Kibaha .kile kituo kilikuwa kinaitwa puma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa naona bado hawajajifunza wawaulize wenzao waliambiwa kalipie pesa za mradi wa mashamba kule Rufiji mpaka leo zimebaki hadithi kila wakitaka kwenda wanaambia walipie .Mimi sitaki tena naomba wanirudishie pesa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine walisema hivyo hivyo tukawahamini alafu kesho yake unasika amejivua uwanachama na nyazifa zake zote ndani ya chama chake .hapo ndio mnapotuchanganya .sijui tuamini lipi lakini wacha tu nipite[emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.