Kwanza kabisa Nianze kwa kukupongeza kwa namna unavyotekelaza majuku yako kwa namna ya kipekee kiasi kwamba nchi imetulia. Kama ilivyo kwaida ya Binadamu, wapo wanaobeza utendaji wako, wapi wanaofurahia,wapo wanaotoa ushauri, wapo wanaokosoa na wapo wapambe ambao kazi yao ni kukusifu mchana lkn...
Kwanza kabisa Nianze kwa kukupongeza kwa namna unavyotekelaza majuku yako kwa namna ya kipekee kiasi kwamba nchi imetulia. Kama ilivyo kwaida ya Binadamu, wapo wanaobeza utendaji wako, wapi wanaofurahia,wapo wanaotoa ushauri, wapo wanaokosoa na wapo wapambe ambao kazi yao ni kukusifu mchana lkn...
Hivi unajua kuwa mkataba wa Twiga gold ulisainiwa wakati wa magu?.....moja ya kipengele kwenye mkataba huo uliruhusu kusafirishwa kwa makinikia?......Mwacheni Mama afanye kazi
Hivi wakiunda time ya kuchunguza kifo cha mkapa kabla kuna makosa?....Ni vyema wakaunda tume huru ya kuchunguza kifa cha mkapa then waliompiga lissu risasi then ifuate ya Jpm
Kama ungelikuwa mzalendo wa Taifa hilo ungejua kashfa za meremeta, Tangold na Deep green wahusika ni nani?..... Unajua kuwa Keby hotel ilikuwa mali NHC na sasa ni mali ya nani?.
Naomba nikuulize kwa ndani huu: Hivi mtoto au kijana akimuuliza Baba take kuwa ulikuwa wapi mpaka asubuhi ndo unarudi ni fedha za mabeberu au za chato ndo zinamsukuma aulize?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.