Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Katiba ya Jamhuri ya Muungano inamlinda Maria Sarungi Tsehai ila Wachunga Ng'ombe wetu huwa hawaijali
 
Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Akamatwe na serikali ya majizi ya kura?!
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hela za CCM? Watu mna akili?
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Daaah pole sana kwa kukosa ubongo
IMG_20210305_123804.jpeg
 
Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Dada pole n majukumu,umeibuka baada ya kusikia kuna teuzi karibuni
 
Mleta mada inaonekana umeishia la saba..yaani hata Civics na DS hukuwahi kusoma..usingeleta utopolo kama huu
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Ni sehemu gani ya katiba imeandikwa mwananchi kuhoji alipo Rais? (weka nukuu ya kifungu hicho)

Mbona hajahoji alipo mwenyekiti wa CDM alipo na vitu vingi anaonekana kufanya katibu mkuu wake na makamu wake mwenye ukimbizi hewa?

Huwezi kuhoji kuja na mtindo wa kuhoji ukijifanya hujui alipo kwa kutumia mitanda ya kijamii ya ndani ya nchi wakati kwenye vyombo vya habari na mitandao inayodhibitiwa nje ya nchi ukitanabaisha kwamba Rais yuko wapi na anafanya nini, je hizo ni akili za mtu timamu au chuki za dhahiri zenye nia OVU?

Mbona hajahoji alipo mwakilishi/mbunge wake yuko wapi kwa kuwa ndiye kiongozi pekee aliyekaribu naye ili amwelezee shida na changamoto za eneo lake kutafutiwa ufumbuzi?

Mbona yeye na genge lake lisilo na staha wanapenda kufuatilia kitu gani mh Rais kasema kisha wanageuza maneno kinyume nyume au ukimya wake umesababisha wakose mapato kwa kusambaza taarifa potofu na zilizogeuzwa kukidhi matakwa yao?

Anataka ajitokeze ili yeye na genege lake wamdhuru kwa kuwa mwenendo wake unasadifu chuki zake binafsi?
 
Kama ungelikuwa mzalendo wa Taifa hilo ungejua kashfa za meremeta, Tangold na Deep green wahusika ni nani?..... Unajua kuwa Keby hotel ilikuwa mali NHC na sasa ni mali ya nani?.
 
Back
Top Bottom