Nimefubga steering power mpya, steeling rack mpya na fan belt mpya lakini bado gari inapiga kelele hasa ninapopiga kona, na kila ninaposikia hizo kelele nikicheki steering power oil inakuwa imeshuka Kidogo lakini mafundi hawajaona popote inapovuja.
Msaada tafadhali.
Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc.
Mwenye nacho tafadhali tuwasiliane.
Viwanja vinauzwa (surveyed plots), vipo Km 20 kutoka Kigamboni, na Km 2 toka barabara ya lami; Mtaa wa Malimbika karibu na ECO VILLAGE DEGE; umeme upo karibu (800 meters); maji unachimba kisima kifupi tu na ni mazuri. Vipo vya ukubwa mbalimbali kuanzia square meter 900 - 2900. Bei ni 20,000 kwa...
Wadau tunakaribia msimu wa mavuno ya zao la muhogo kwa wingi hasa kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania na baadhi tayari wameanza kuvuna. Soko la zao hili limekuwa halina uhakika sana kutokana na kutokuwa na viwanda vya kusindika muhogo hapa nchini hivyo kilimo cha zao hili kutowanufaisha sana...
Wakuu nashukuru kwa maelezo mazuri na ya kuelimshana kuhusu suala hili. Nilikuwa sijapitia humu kwa muda kidogo, nimejifunza kupitia angalau kila wiki. Nitafuatilia ushauri kadhaa mlioutoa ili hatimaye niweze kuamua cha kufanya.
Nina shamba, lengo langu ni kuona kama ningeweza hata kununua used ama kukodisha. Lakini kutokana na maelezo nikiyopata kutoka ndugu Asante, nimeona ni ngumu kuupata mtambo kama huo na pia kukodi si rahisi pia. Nitatumia ushauri wako ndugu Kisima wa kutumia vibarua. Nashukuru sana.
Kwanza niawapongeze TRA kwa kubuni utaratibu mzuri wa kulipia Road Licence ambao kwa kweli umetuondolea usumbufu kwa kurahisisha kazi ya kujiaajili na kulipia kwa kutumia mtandao. Hata hivyo bado kina kero ambayo bado haijatatuliwa wakati wa kuchukua hiyo kadi ya Road Licence ambapo kumekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.