Swali la kizushi. Miaka 5 iliyopita kulikuwa na leak kuwa Mwambita Makamba analipwa $20,000 kwa mwezi alipokuwa anafanya kazi Vodacom TZ
Sasa najiuliza hivi hawa ma top CEO wa mabenki kama Barclays, Stanchat, Vodacom etc wanalipwa kiasi gani kwa mwezi ontop of marupu rupu mengineyo?
Hapa...
Jamani video ziko wapi?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Now Ikulu updates Website
Dar es Salaam. Finally, the State House got it right and their official website is now displaying the full list of ministers and appropriate matching photos and names.
The list of the Cabinet line-up was distorted and missing important details until a few days...
Alikuwa ITV asubuhi ya leo! Mchekini kwa ITV youtube maana huwa wanasema wanapatikana kwa youtube, pia nasikia watu wa BRN watakuwa Mlimani City wakieleza mafanikio yao ambayo huyu jamaa alikuwa anataabika kutuelezea! jamaa anaulizwa maswali ya kawaida kama "tofauti ya mikakati yenu na ya...
TRANSPARENCY ingeanza na ripoti zote za ukaguzi wa fedha za UMMA ziwekwe WAZI ONLINE kwenye tovuti husika ili kila mwananchi akitaka asome
Na ziwe kwa KISWAHILI na sio mauza uza ambayo watu hawayaelewi
TRANSPARENCY ianze kwa reports kuwa open to the public
Jiulizeni RIPOTI ya CAG ya BOT, TRA...
Hivi ni forms zipi zinahitajika wakati wa ku transfer title deed toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine?
Nimetembelea website ya wizara sioni kitu
Usajili wa Hati na Nyaraka
Jamani ninataka kwenda china katikati ya mwezi ujao huko Guangzhou
shughuli zangu ni kwenda kutengeneza sampo za viatu vya michezo kama pea 50 hivi (nataka nije nazo kwa ndege)
maswali yangu ni kuwa huu mwaka mpya wa kiichina unaisha lini maana nimeambiwa eti wachina wanakula bata mwezi mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.