Katika viongozi ambao ninamfananisha ya jamaa aliyekuwa anakata tawi alilolikalia. KAMA kiongozi wa nchi ulikuwa wapi? mkuu wa nchi umeonesha utumbo na pumba. kwa maana hiyo wakati wote ulikuwa unatuadaa wananchi sio?
Katika viongozi ambao ninamfananisha ya jamaa aliyekuwa anakata tawi alilolikalia. KAMA kiongozi wa nchi ulikuwa wapi? mkuu wa nchi umeonesha utumbo na pumba. kwa maana hiyo wakati wote ulikuwa unatuadaa wananchi sio?
Wana jf embu aliyekaribu na wale watafiti wa UDSM wa REDET ninaowapenda sana kwa tafiti zao wapo wapi jamani? uchaguzi huu muhimu sana na tunahitaji sasa utafiti wenu wataalam wa REDET.
Kama mwananchi, ninaomba tupatiwe huduma ya umeme. Tupeni ukweli msitoe ahadi za kisiasa, mgao unaisha lini? Mliahidi tarehe 20, mpaka sasa bado Watanzania tupo gizani. Kwa nchi yenye uwajibikaji inapaswa Waziri wa nishati na mkurugenzi wa TANESCO mjiuzulu.
Hapa dodoma mabalozi wa mitaa na wanachama wa ccm wanahangaika na vikao kwa kupewa shs 2000 na maji na kuwaambia watu mitaani kwamba UKAWA wataleta vita nchini. kwa kweli wamechanganyikiwa haswa. kuna mmoja wa mabalozi nilimuuliza vipi ccm itashinda alisita kidogo akaniambia huku ngazi ya chini...
Mzee Kingunge alisema chama cha mapinduzi(CCM) kimeishiwa pumzi na hakina uwezo wa kuipeleke nchi hii juu kimaendeleo alikuwa na maana kwamba serikari ya CCM imefika hapo ilipofika BASI.
Leo nilikuwa naongea na Mwalimu mmoja mkuu wa Shule ya Msingi Mjini Dodoma na kunieleza kwamba shule ina...
Umejaribu kubet lakini umesahau kuna wapiga kura zaidi yb mil 10 na wengi ni wapiga kura wapya ukilinganisha na takwimu za 2010. vilevile kumbuka vijana ndiyo wakao amua yupi raisi 2015.
CCM na serikari yake tunawajua na mnachosema sicho ni uongo mtupu> UKWELI WA MGAO WAUMEME TANZANIA NI KWAMBA PESA NYINGI ZA KUNUNULIA MAFUTA ZILIKUWA ZINATOKA KWA WAFADHILI KUTOKA NJE NA WAFADHILI KARIBIA WOTE WAMESITISHA MISAADA KWA TANZANIA KUTOKANA NA KASHFA YA ESCROW. KINACHOFANYIKA SASA KWA...
Mkabidhi Msimamizi wa kituo kadi yako ya Kupigia Kura,
Jina lako litasomwa kwa sauti kubwa ili Mawakala wa Vyama vya Siasa waliopo kituoni wasikie,
Wasimamizi wa vituo, na hata Mawakala wa vyama vya siasa wakiwa na shaka wana haki ya kukuuliza maswali ili wajidhihirishe,
Msimamizi wa kituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.