...kila chama kina style yake..chama changu cha zamani, viongozi wanaume wanakaa, wanaelewana binti, dada, mchumba, mchepuko wa nani, miongoni mwao awe mbunge wa viti maalum...!
Nimeumia sana kwa dhuluma tuliyofanyiwa na NEC kwa maelekezo ya serikali ya CHAMA CHA MAPINDUZI imani yangu ni kuwa kwa maumivu tuliyoyapata kama wana UKAWA hili litakuwa funzo isitokee hata sisi tukawadhulumu wenzetu tunao wazidi ubavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.