Recent content by malaki123

  1. malaki123

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wanafunzi wa Chuo Kikuu (DUCE) tumefukuzwa na kuchaniwa mitihani sababu tunadaiwa ada, HESLB haijatuingizia fedha

    Kwan boom ni ya kulipa ada au meal and accomodations. Nenda udom pale kwa watoto wa wakuloma hugukuzwi na huzuiwi kufanya mtihan kisa ada
  2. malaki123

    JamiiForums Tanzania KERO Hali ya vyoo Chuo Kikuu UDOM upande wa CNMS ni hatari kwa afya, huwezi amini kama ni Chuo Kikuu hapo

    Mtoq post ni wa Dodoma ,any way polen wanagumzi wa udom
  3. malaki123

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Sasa hao wa zaidi ya miaka 25 wanakuwa na akili baada ya kuchezewa na kutumika ivyo ndioo akili huwakaa sawa
  4. malaki123

    JamiiForums Tanzania Jinsi malezi yanavyokiharibu kizazi chetu kijacho

    TUna kazi ya kufanya kulinda watoto wetu dhidi ya ukahaba na ushoga
  5. malaki123

    JamiiForums Tanzania Jinsi malezi yanavyokiharibu kizazi chetu kijacho

    Moja kati ya swali gumu ninalojiuliza mara zote huwa ni MWANANGU ANAWEZA KUISHI NA WATU WENGINE IKIWA SIPO!? Moja ya msingi mgumu ni MALEZI hasa kwenye jamii ya sasa…! Ni kwa sababu wazazi wameacha wajibu mkubwa kwa wadada wa kazi…! Binafsi, Napenda kuweka limit ya baadhi ya vitu. - Screen...
  6. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Kigezo ni kutoka kwenu au kigezo nikuenda kunitafta mbali w.ew unayesema ivyo uko wapi!!sisi tuliopo uku sa ndo tunajua hao nhizo kauli zenu izo ndo mnaenda kichwa kichwa tu bila kujiandaa wanakuwa na kazi zisizoerewaja miaka nenda miaka rudi.
  7. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Vuka border ukiwa unamejiandaa sio vuka border ukauze matunda
  8. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Hahahahahahahah wake walimu uvivu tu wakulima
  9. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Yaaan wameenda wenyewe hawataki kujenga inchi Yao wanaenda kujenga inchi za wengine arafu saiv wanataka msaada kutoka inchin kwao
  10. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Asante umenisaidia ,yaani watanzania wenyewe wabaguzinety wakienda inchi za wengine wasubaguliwe wao
  11. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Mwambie huyo ety nae anaona wew ndo hierewi
  12. malaki123

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Tenda wema nenda zako.fadhila antia mungu tu.
Back
Top Bottom