Kwanza napenda kukupa pole kwa hili linalokunyima raha.
Labda nikukumbushe tu...kuna kisa kimoja cha bibilia cha bibi aliyeitwa Sara...alizaa akiwa na umri wa miaka 90 just imagine...Katika kipindi chote cha ndoa yake kabla ya kupata mtoto alijihisi mpweke kama wewe vile...lakini mwishoni MUNGU...
Kwa kweli haya sio maadili mema hata kidogo...mwalimu ni sawa na mzazi..amepewa dhamana ya kuwasimamia wanafunzi, kuwakanya na kuwafundisha...lakini cha ajabu...mwalimu huyo huyo anakuwa mtu wa kiwaharibu wanafunzi...uchunguzi ufanyike haraka na hatua kali za kisheria zichukuliwe!!!
Sent using...
Nianze kwa kusema kwamba imani zetu wengi ndio zinatufanya kuwa watu wa wasiwasi na kushindwa kufurahia miaka yetu michache tunayoishi hapa chini ya jua.
Unamkuta mtu msomi kabisa humu anaamini kila kitu kinachosemwa na baadhi ya watu ambao wanajifanya wanajua sana mambo ya imani na ulimwengu wa...
Hii inawezatokea...ila kiuhalisia huyo sio marehemu ila ni malaika waliohasi wanachukua sura ya marehemu ili kuwaaminisha ndugu zake kuwa anaishi somewhere....kwa wakristo hili limewahi kumtokea mfalme Sauli baada ya kwenda kwa mganga( mshirikina) kujaribu kumuita nabii Heri ( kipindi hicho...
Kadili ya siku zinavyozidi kukimbia...akili ya mwanadamu inazidi kuchanganyikiwa....kumbusu mdomo( dendalize) mwanao wa kike ni ishara tu ya kuchanganyikiwa kwa ulimwengu.
NB: Hizi ni siku za mwisho. Be careful!!
Wadau naombeni kunijuza application ya kozi za uuguzi kwa vyuo vya serikali kunaanza lini maana ile round ya mwezi wa nne haikuhusisha vyuo vya government.
Natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.