kwa nn watanzania hawatali kkbari kua kunasem tuko juu?mtu akiambiwa tanzania inashika nafas za juu hua awataki.mi nashauri..kabla ya kuongea huo utumbo wko bc chunguza kwanza.
ninacho ona mm uwelewa ndo ttz.na ktk trein tu bari hata shm nyingine hualibiwa kwa makusudi.taifa,airport,nk..hilo ni ttz watu baadhi yao kukosa uwelewa.elim ttzo.
INA TEGEMEA ISHU NN MPAKA MADAIV KUZAMIA KWA MAKUNDI AU MOJA.KUVAA MASKI MIKONONI,MIGUU,KUNA FAIDA2
1-kumwezesha kukata maji kwa urahi na kwa haraka
2-viganja vya mikono,miguu huungaa sm ukiwa ndani ya maji haswa yabahari(chumvi)hivyo kuonekana kirahic sn na samaki..
.haswe wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.