Kwahiyo we ulitaka wakae kwakua bomu linaangalia huyu mwanajeshi halitamuua? That was a wise choice to run and save your life,kukimbia sio woga pia ni silaha na inasaidia sana kama unajua kuitumia vizuri. Weldone makamanda kama we ungekua hata koplo ungesimama???
Haya yote yanakuja kwani inaonesha kuna mahali tumejikwaa, kutojipanga vizuri kiuchumi sasa tunadharaulika. Sisi ndo nchi kubwa katika Afrika Mashariki. Kwanini tunyanyasike hivi?
Katika vyoote nilivyosoma hapa nimesikitishwa na hiyo mbinu ya usalama wa taifa kujifanya sijui uhamiaji ili kupata data za wazazi wake kama damu na nywele ili kupima DNA! Sidhani kama usalama wetu wa taifa umekosa mbinu kiasi ukaombe "damu na nywele"... Ina maana hao ndugu wa Shehe Ponda...
Domhome is this to say that it was already planed? as you gave the evidence from Quran? What is the significant of that number "11"??? What is inside that number???
Leo ikiwa ni miaka zaidi ya kumi tangu litokee tukio lililoiacha dunia kwenye kitendawili kikubwa mpaka sasa cha kutokujua nini jibu lake baada ya majengo mawili World Trade Centers comlex "kugongwa" ne ndege kwenye jiji la New York, USA.
Mpaka sasa mengi yamesemwa kuhusu chanzo cha matukio...
Hawa walikua ni special force ya Russia,je bado wapo mpaka sasa au walikufa na jamuhuri ya kisovieti? Naomba msaada kwa anaefahamu kwa undani kuhusu hawa jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.