Recent content by Makoye thomas

  1. M

    Biblia: Dawa thabiti ya mapenzi

    Nmeikubali xhule yko
  2. M

    Natafuta marafiki

    Weka mawasiliano
  3. M

    Mtandao wa Zantel wanatumia minara ipi maeneo ya vijijini?

    Habari zenu wanajamvi kuna kitu kimekuwa kikinitatiza juu ya mtandao wa zantel maeneo ya vijijini. Huwa ninashangaa kuona line yng ya zantel inapokuwa hewani ninapokuwa maeneo ya vijijini na wakati hakuna minara ya zantel maeneo hayo. Naomba kufahamishwa zantel wapo ubia na mtandao upi wa simu...
  4. M

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    siasa ni mchezo mchafu hakuna chama chenye nia ya dhati kumukomboa mtanzania
  5. M

    Magufuli, hotuba hizi za aliselema hazijengi chochote!

    Jamaa anapenda sana hotuba kuliko vitendo tumeshachoka na maneno mengi
  6. M

    Magufuli, hotuba hizi za aliselema hazijengi chochote!

    Nani kakuambia kuwa hotuba inajenga,hotuba maneno tu kinachotakiwa ni vitendo mm huwa siumizi kichwa kusikiliza kinachoongewa na wanasiasa kwa sababu asilimia kubwa ni maneno tu.Tanzania ya leo inahitaji mtu wa vitendo zaidi siyo kama unayoyafurahia kuyasikiliza
  7. M

    Vigezo gani vinatumika, mtu kuchaguliwa UDOM au UDSM?

    Kama hadi matangazo ya kazi hayaitaki udom kweli hiki chuo bado sana
  8. M

    Vigezo gani vinatumika, mtu kuchaguliwa UDOM au UDSM?

    Siku hizi udom mnakula bata kitabu hakibani
  9. M

    Vigezo gani vinatumika, mtu kuchaguliwa UDOM au UDSM?

    Jamaa kakosa ud hivi hivi ushauri wa mshikaji ataujutia
  10. M

    Vigezo gani vinatumika, mtu kuchaguliwa UDOM au UDSM?

    Kuna rafiki yangu kapata division two pt 9 mwaka huu combination ya PCM, mimi nilimshauri katika selection zake aanze na UDSM kwani matokeo yake siyo mabaya. Yeye amepata B plain kwa masomo yake yote yaani physics, chemistry & mathematics. Lakini kabla hajaenda kufanya selection akaomba ushauri...
  11. M

    Hutakiwi kufanya editing kwenye akaunti yako TCU

    Watu wanazungumzia tcu halafu wewe unaweka link ya nacte wakuelewe vp
  12. M

    nawewe unaamini matokeo ya kidato cha sita yamechakachuliwa?

    Dogo inaonekana huwez kujenga hoja mpaka unatumia maneno makali punguwan neno la kawaida kweli kwa sabab ss tumepta jkt tumetukanwa kila aina ya tusi so usijali hilo nalo ni tatizo lako
  13. M

    nawewe unaamini matokeo ya kidato cha sita yamechakachuliwa?

    Dogo inaonekana umevurugwa kumbe hata kwa wale 4000 wenye div1 haumo umeishia div2 basi ingekuwa mwaka jana wewe ulikuwa na div3
Back
Top Bottom