siwez kulikalia kmya hil jambo kwa sababu natambua mashirika yanayojitokeza kwa ajil ya kutoa misaada kwa hv vituo sio tegemez mm nmekulia chuo cha watoto yatima natambua fika mazngira tulyokuwa tunayaptia makanisa huwa yanajitolea sana na kutengeneza njia ambazo zinakwamua mahitaji ya sehem hyo...
ameweka hadhira kwa maan mtambue kuwa tanzania kuna watu wa aina gan kwa yeye anakosa gan alaf issue kama hz ambazo znatokeaga kila mtu anakuwa na mtazamo wake nyie nao angalien leo siku ya ngap tang msiba utokee na wangap wanajua eti diamond pekee asitambue hivi hlo ni beef la aina gan mtu...
huo uwongozi umeshaona kwamba tz kwa sasa hivi wamekua wajanja kwa hiyo hapo wanatafuta njia ya kuwadanganya raia wake wasije kuchangia uchumi wa nchi walijua bado ni shamba la babu #wamefeli waache kuja 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.