Recent content by Makoko

  1. M

    Yaliyojiri nilipo pigwa mkono na Traffic Police wiki jana

    Hahahahahahahah...Hii kali aiseee
  2. M

    Natafuta Shule ya Awali na Msingi: ADA ISIZIDI 4.5M

    Basi muandikie huyu email...mpaka kesho atakua kashakujibu...secretary@morogorointernationalschool.com
  3. M

    Natafuta Shule ya Awali na Msingi: ADA ISIZIDI 4.5M

    Mkuu nimekutumia hiyo attachment hapo... ni shule nzuri sana, maana mimi nakaa Morogoro na nategemea kupeleka mtoto huko.... Asante.
  4. M

    Picha: Mwenyekiti wa CHADEMA alivyochinjwa... [Extreme Images]

    Kwanza natoa pole kwa wafiwa na chama cha Chadema. Jamani nawaasa sisi wananchi, tusitumike jamani na hawa wanasiasa mpaka tukafikia kiwango cha kuuana. Hii dam haitapotea hivi hivi, maana mwenye kutoa uhai wa mtu ni Mungu mwenyewe. Naamini watu hawa watapatikana tu. Aisee Tanzania tunaelekea...
  5. M

    Natafuta sample za research topics...

    Mimi nafanya PhD ya Marketing, kama uko seriouse tungeweza kusaidiana...
  6. M

    Mke wa Mtu ananitaka

    Life is short, explore the world....
  7. M

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Jamani, mbona mnataka kuuana hivyo kwa kumwambia mwenzako akafanyiwe operation? Hilo sio tatizo bwana mkubwa, kuna vidonge vyake fulani unakua unadumbukiza huko 'down' mbona kitaisha tuu. Mimi kuna jamaa yangu mmoja aliamua kukikata hiko kinyama kwa operation chupu chupu tuzike... so kwa ushauri...
Back
Top Bottom