Kwanza natoa pole kwa wafiwa na chama cha Chadema. Jamani nawaasa sisi wananchi, tusitumike jamani na hawa wanasiasa mpaka tukafikia kiwango cha kuuana. Hii dam haitapotea hivi hivi, maana mwenye kutoa uhai wa mtu ni Mungu mwenyewe. Naamini watu hawa watapatikana tu. Aisee Tanzania tunaelekea...
Jamani, mbona mnataka kuuana hivyo kwa kumwambia mwenzako akafanyiwe operation? Hilo sio tatizo bwana mkubwa, kuna vidonge vyake fulani unakua unadumbukiza huko 'down' mbona kitaisha tuu. Mimi kuna jamaa yangu mmoja aliamua kukikata hiko kinyama kwa operation chupu chupu tuzike... so kwa ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.