BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema.Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"
Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'...
Mapenzi Haya jamani acheni yaitwe mapenzi, miaka kumi na Tatu iliopita nilikuwa na Mpenzi wangu ambae kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wangu nilipoteza mawasiliano yake kutokana na yy kuhamia mkoa mwingine na mimi nilipoteza kikaratasi nilicho kuwa nimesave namba yake lkn baada ya...
Kweli zama Zimebadilika nakumbuka zama zile Tulikuwa tukifunga shule Mzazi anakulipia nauli uende kwa shangazi Dar au Mwanza au Arusha ukifika huko unafurahia likizo mwezi mzima na siku ya kurudi utafungashiwa zawadi hadi raha lkn zama hizi hata ukimwambia Ndugu yako utakuwa na safari yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.