hilo jambo limenitesa zaidi ya miaka mitatu;mpaka nije nigundue, nimepoteza hela nyingi sana,sasa hivi naipenda tanesco yangu. Nanunua umeme wa sh,2000/=,napewa unit 27.30 nilichofanya niliandika barua kwa meneja wilaya wa tanesco kuomba nitoke tarif one kwenda tarif o.basi ukiwa tarif o,hizo...
Hiyo mbolea ya ruzuku inapelekwaje kwa diwani?Hakunaga mawakala wa pembejeo huko?Tatizo la Lema angeuliza mfumo uliotumika kwanza kabla ya kukurupuka na huyo diwani.Labda angewakusanya wengi mpaka waliopindisha mfumo wa usambazaji wa pembejeo.Wengi tunajua wanaotakiwa kusambaza pembejeo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.