Recent content by Makobha

  1. M

    JamiiForums Tanzania Black people hate everything about slavery except religion

    Kwani dini siyo tamaduni na mila za Wazungu na Waarabu?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Chanjo na dawa za kuzuia vifo vya vifaranga wa kuku wa kienyeji

    Huu ni ugonjwa wa ndui. Ndui inazuiwa na Chanjo. Chanja, chanjo ya ndui kabla hawajaanza kuugua.
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Woow! another twist.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Yule Bibi mwenye Nyanya alisema Simu yako utaipata
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Brother, hapa kwenye VAT rudi kasome uelewe vizuri. Hakuna Mfanyabiashara analipa VAT, VAT analipa mlaji wa mwisho hata kama mfanyabiashara si registered. Mfanyabiashara ana-claim VAT ikiwa VAT aliyokusanya toka kwenye Mauzo ni ndogo kuliko aliyolipa kwenye manunuzi ya bidhaa anazouza, na hii...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Brother, VAT analipa mnunuzi wa bidhaa/huduma wa mwisho na si mfanyabiashara. VAT inayoongezwa kwenye bidhaa au huduma anapokwenda kununua mfanyabiashara inaongeza bei ya hiyo bidhaa na mlaji wa mwisho ndiye analipa hiyo VAT siyo mfanyabiashara.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Mfanyabiashara halipi VAT, VAT inalipwa na mnunuzi wa bidhaa. Mfanyabiashara ni wakala wa TRA kwa ajili ya kukusanya hiyo VAT na kisha kuisilisha TRA.
  8. M

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji

    Maji ni tatizo kubwa sana kwa wakazi wa Dar. Huku Mpiji Magoe Toka Januari 2024 hakuna maji. Tukiuliza DAWSA hawatoi majibu ya kueleweka
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi DAWASA haina msimamizi?

    DAWASA nayo afadhali ibinafsishwe tu. Hakuna maji kabisa huku Mpiji Magoe toka January
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Annie, do not dump this lady. The way you narrated about her, she loves you regardless of the circumstances.
Back
Top Bottom