umekunywa ugimbi wa wapi, unampangiaje mtu nn cha kufanya...kwan alivyokuwa mahabusu ulimsaidia maumivu/mateso aliyokuwa anayapata. acha wivu wa kishoga kwenye maisha ya wa2/ww
Magu mzazi lizazi... Hapo halima hajatukana wala hajamtukana mtu, ametupa jiwe gizani anayeumia ndo muhusika amejishtukia kwa ujinga wake. Hapa hana kesi ya kujibu wala hakuna sheria itakayomfunga, n sawa mlivuokurupuka na kauli ya Lisu dikteta uchwara mlishia kuangukia pua kwa kukurupuka.
Mbona unaumia utazani anatumia pesa za bibi yako,arudi nyumbani kwani anakaa kwenu,akirudi utamuhudumia ww, eti anazurula na ww kazurule,unazan ulaya ni K/Koo au mazense useme anazurula kama ww...kichwa maji ww bk7
Poleni sana lumumba fc. juhudi kubwa zinatumika kutetea jiwe na Maliyamungu bashite. Nnajitoa akili kutetea ujinga. Vip ile marufuku ya police kuvaa tshrt za pray for lisu, Vip ile police kuzuia viongoz wa dini kusoma albadili kwa wasiojulikana..Sabb hzo tu zinatosha kujiua wahusika na...
duuh!!! mungu hatetewi huwa anajitetea daima..sasa hyo mungu mtu wa lumumba mbona anatetewa sana. Ukipenda kusifiwa pia upende kukosolewa. Kwa kifupi ni hivi ccm mko wachache sana. hamjai kwenye ballot box. kinachowabeba ni dola manlijua hilo. kwa kifupi watanzania walio wengi hawaipendi ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.