Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Tutaungana Moja kwa Moja Kati ya Mwanahabari Huru na Kwanza Tv kwanzia majira ya saa Tatu kamili saa za Tanzania kwenye Mazungumzo ya Moja kwa Moja Mubashara na Tundu Lissu
===============
Tundu Lissu: Aishangaa Serikali kupitia watendaji wake kwa matamko wanayoyato
Tundu Lissu: Kuhusu kauli ya Waziri Lugola kusema hakuna CCTV eneo aliloshambuliwa Lissu, "Sizungumzi ya kuambiwa, hiyo CCTV iliwekwa mara tu baada ya Medard Kalemani kuhamia katika jengo like
Tundu Lissu: Yale majengo yanalindwa Massa 25, na hao walionishambulia walinifuata mpaka getini na hao walinzi wanaolinda lile geti siku nashambuliwa hawakuwepo, swali ni Je, nani aliyewaondoa?
Tundu Lissu: Hao wanaopiga kelele kuwa nirudi nyumbani wameshawai niuliza naendeleaje au umetibiwaje?
Tundu Lissu: "Yale majengo yanalindwa Massa 25, na hao walionishambulia walinifuata mpaka getini na hao walinzi wanaolinda lile geti siku nashambuliwa hawakuwepo, swali ni Je, nani aliyewaondoa?"
Tundu Lissu: Akihojiwa na Maria Sarangi Mambo yakiharibika kwa sababu ya Serikali, lawama zote zitaelekezwa kwa Rais, Katiba yetu inasena Rais hawajibiki kufuata ushauri wa mtu yeyote sasa Rais akiamua kuwajibika kwa ushauri lawama ni juu yake."
Tundu Lissu: "Rais wetu ni Mkuu wa nchi, ni mtu mwenye nguvu sana na Rais wetu anasema mwenyewe kwa maneno yake kwamba anataka 2020 kusiwepo na vyama vya upinzani, anamwambia Lowasa akawaambie wenzake wataishia magerezani sasa tukimsema tunakose?"
Tundu Lissu: "Wanaosema nimepona hasa Spika, niwaambie tu kuna kautaratibu wameandika kuwa ni wajibu wa madaktari wa Bunge kufuatilia hali ya mgonjwa, sasa madkatari waje kufuatilia waache blah blah wanazopiga