Mkuu nilifanya biasha ya kuku wa kienyeji nanunua kijijini napeleka mjini. Niliaza na mtetea 10 kwa sh6000 na kuuza sh12,000 na Jogoo8 kwa sh8000 na kuuza sh15,000-18,000. Ilifikia hatua nachukua hadi kuku 70.Nimezungusha mara 15 nikafungua duka Same kwa mtaji wa M5.
Nimekuwa nikifuatilia post mbalimbali za member huyu Jf hasa jukwaa la Intelligence, amekuwa akipost elimu/uzi kuhusu mambo ya kiroho yaani vitu visivyoonekana. Hasa habari za majini nk.
Pia nakumbuka mwaka jana nilipost nikiomba ushauri wa kufungua biashara kwa mtaji wa laki150 alinishauri...
Wakuu habari.
Nimeona mara nyingi watu huchoma udi maduka majumbani mwao, najiuliza ni kwa sababu zipi, zina faida gani na kuna aina ngapi za udi maana harufu hutofautiana.
Asanteni.
Habari wanaJF.
Naamini humu kuna wataalamu wa sheria. Mimi ni mwajiriwa nina zaidi ya miaka miwili kwenye ajira,sasa hapo nilipo nimekumbwa na matatizo kifamilia, nimeona bora niache kazi nikasimamie shughuli zangu binafsi kijijini. Lakini nina mkopo ambao makato yake haijaisha. Je naweza...
Eid Mubarak ndugu zangu waislamu.
Kuuliza ni moj ya njia ya kufahamu. Nina kiasi cha laki150 sitaki niharibu je, biashara gani naweza kufanya iwe kama kianzio?Nipo mkoa wa Kilimanjaro nimehitimu chuo mwaka jana lkn sina issue yeyote. Pls wanajamvi ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.