Bosi tulia basi kwanza, unaonekana una hoja nzuri lakini umekosa utulivu kwenye kuandika. Binafsi sijapata muunganiko wenye kuleta maana kwa namna ulivyowasilisha maoni yako.
Yanga imekua timu ya kwanza kufunga idadi ya goli 4 na Belouizdad kuwa timu ya kwanza kufungwa goli 4 katika hatua ya makundi kwa msimu huu katika CAF Champions league.
Hongera Yanga kwa rekodi hii. Kwa kifupi, hakuna timu iliyowahi kufunga goli nne katika mechi moja katika hatua ya makundi...
Bosi, hii ni barabara ya halmashauri (yenye lami iliyokolea)inaunganisha ofisi ya DC na ile ya DED. Barabara hii imeanza kujengwa tangu mwaka jana miezi ya katikati. Aidha, hiyo barabara yenye ranging iliyopauka ni barabara ya Kisiju (imejengwa mwaka juzi).Kwahiyo, ni vyema tukawa tunasupport...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.