Dalili zake joint za kwenye mkono karibu na vidole, joint za magoti zinakaza pia kuvimba, anachemka na maumivu makali. Ametumia predinesolone inapunguza kwa mda mrefu inapunguza tu maumivu lkn hali iko vilevile.
Habari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli...
Habar yako THE GOD FATHER na saiz uko China au hap tz mwenyewe Nina mpango wa kuagiza mzigo huko China mana nasikia huko China bei uko chini sana nahitaji juicer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.