KAPURO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 235
- 152
Nicheki pia ninaparcel Yangu nataka nitumiwe 0753359245Miss mbuja plz naomba tuwasiliane pia jmaa anitumia ki percel changu toka china pia au nikufate pm au 0783848802
Nicheki pia ninaparcel Yangu nataka nitumiwe 0753359245Miss mbuja plz naomba tuwasiliane pia jmaa anitumia ki percel changu toka china pia au nikufate pm au 0783848802
mbona watuma marambilimbili? VP salama hapoMpigie 0657 862030 utapata majibu.
THE GOD FATHER mzgo unaosafirishwa kwa meli kutoka hapo hadi Dar huchukua muda gani?
Mzgo unaosafirishwa kwa meli kutoka China hadi Dar huchukua mda gani?
Nashukuru sana THE GOD FATHER
Dar hutapata wamejaa matapeli tu,zipo nairobiWanadau
Naomba kujua majina ya maa agents wa kisafirisha mizigo kutokea china kuja Tanzania.
No zao
Ofisi zao kwa hapa Tanzania
Na bei zao mara nyingi zikoje?
Nawakilisha
Silent ocean / Sea gate. The best ever.Dar hutapata wamejaa matapeli tu,zipo nairobi
Habar yako THE GOD FATHER na saiz uko China au hap tz mwenyewe Nina mpango wa kuagiza mzigo huko China mana nasikia huko China bei uko chini sana nahitaji juicerni mwezi 1 hadi unapata mzigo wako mkononi.
Jamaa anahitaji kampuni unamletea mtu wabongo bhana akizima simu atamuliza nani?Mmmmhh nina rafiki yangu yupo china labda nikupe namba yake uchat nae anawasidia.watu wengi kupata mizigo yao vipi nikupe namba yake? Kama vipi njoo pm mkuu
waweza kunitumia namba yao ya simu mkuu naminawahitaji hawaSilent ocean wako cheap sana ofisi zao ziko karikoo ndio wasafirishaji wa mizigo mingi ya wafanyabiashara wa tz from china.
By the way ni mzigo mkubwa au kiparcel?
Ntakutumia ngojawaweza kunitumia namba yao ya simu mkuu naminawahitaji hawa