kimsingi nimemisi kitu cha msingi sana,mpaka nahisi akili zimevurugika.nilivyokuwa mikoani nimewahi kumiliki kademu kangu kalembo kalikuwa kananitunza ila kwa sasa kameshaolewa
Sasa ninachosikitika nimekoswa kabisa demu wa maana anayejiheshimu ambaye tunaweza tukapima tukaanza nae mahusiano...
Siku jumamosi nilikabwa nikanyang'anywa simu yangu bahati nzuri nikafanikiwa kubaki na mmoja wa hao watu wakabaji.kwa sasa Mimi ninajiuliza nitaipataje maana hata aliyekamatwa kagoma kutoa ushirikiano anaweza akafungwa na simu yangu ya android nisiipate.imei namba yake ninayo.nilijaribu kuiserch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.