Ukipata dawa nijulishe mkoa niliopo wameniambia mpaka niende muhimbili nikachek kibofu. Kwa jinsi ulivyoelezea mimi na wewe tunafanana asilimia mia kwa hilo tatizo la kukojoa mara kwa mara
Sijasema malaika wala jini, nimeuliza hichi kivuli ni cha nini
Sasa inakuwaje mama na ndugu wameshindwa wakati huku mm nikiwa nakiona.
Siogopi kulogwa wala sijawah kuwaza kama nimelogwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.