J, Mbatia amepewa kupoza machungu ya kugaragazwa na mwanadada Halima Mdee, ila nijuzeni wakuu, kama atakuwa na uwezo wa kuibana serikali ilihali ni mbunge wa viti maalumu vya rais?? je ikiwa itatokea akaisea mbvu serikali hivi rais hawezi kutengua uteuzi wake?? mwenye kujua hili tafadhali...
kwani hiyo cm yake haijapatikana?? mm nashauri kama imeoatikana ipekuliwe hili hiyo namba iliyompigia ifuatiliwe coz namba zimesajiliwa na wahusika wanafahamika , ni kiasi cha kuuliza kule tcra, na kwenye mtandao uliotumika. au wekeni mtandao aliokuwa anatumia ili sisi tunaofanya kazi huku...
Hivi SAMBWEE shitambala si alijidai kuwa ataibomoa CDM mbeya?? mbona kama ameshindwa kazi halafu amesahaulika kwenye u- DC, lo jamani ccm hamna huruma kwa mwenzenu??
nimesikia alikuwa amezindua filamu moja hivi inaitwa KIJIJI CHA WAPIGANIA HAKI, hivi kijiji hicho ni CDM?? na je ndo maana na yeye akajiunga huko ili apiganie haki za wana SHY?? hakika naitafuta hiyo filamu nijielimishe kile jembe letu lilitaka tuelewe wa tz.
Dah!!! yaani tangu CCM igaragazwe Arumeru east, leo ndo ritz na rejao ndo wanaonekana jamvini. Nadhani ndo wamemaliza ile dose (acetaminophen 1gm tds - 3days), coz yule mzinzi wa iramba mashariki alikuwa anawaambia M4C waandae pesa ya kununulia pindi wakipigwa ARMERU, ila sasa wao ndo wakainywa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.