MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Makamanda wa Chadema na Watanzania kwa Ujumla aliyevaa kiatu cha Dr. Slaa Katibu Mkuu wa Chadema, aliyegombea Urais 2010 amefanya mambo mengi sana katika Bunge la Tanzania. Huyu si mwingine bali ni Mhe. Mch. Israel Yohana Natse. People's Power.