Ndumbaro ni mwanasheria, ila hapo kapotea kabisa. Si jambo zuri kuwaona wasio wazawa ni wasaliti. Iko siku atasema ni marufuku asiyemzawa wa Songea kuishi hapo. Mimi nahisi tayari ameshakunywa Maji taka ya siasa na anataka kuwanywesha wengine! NOOOOOO..!!
Jamani huyu afisa habari hafai. Tafuteni mbunifu katika tasnia hii ya soka ili tulipaishe soka letu.tumechoka na mipasho!!! Kila kukicha hakuna lolote la maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.