GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Huna point,
Nakurudisha darasani jipange vizuri next time
Manara yupo kazini, anaongea kwa niaba ya klabu, na uongozi unafahamu na kubariki taarifa zake. Siyo kama kima wewe unabwabwaja tu humu.
# Elewa pia jitahidi Kutibu stress kwanza
' Mazeri ' wako ameshaondoka hapo Kwenu? Mwambie anapokuja Kwangu huku ' Maghetoni ' tafadhali asisahau kuleta na ile ' Wine ' yangu ambayo huwa naipenda mno ili niweze kupata ' Stimu ' zaidi ya Kibaiolojia.