Yaani Mimi wanadai nimewatumia Tangazo la nafasi za kazi kwamba malipo Ni elfu 50 kwa siku. Nimeshtuka Sana ambapo wakati naongea na mtu mmoja nikasikia mwingine pembeni anamuuliza kuwa "kumbe na wewe amekutumia?" Cha ajabu kila anaenipigia simu hakuna hata mmoja ninaemfahamu Wala alieko kwenye...
Mkuu sijawahi kutumia simu/computer ya mtu, sijabadili sim card kuweka kwa mtu Wala mtu kuweka simcard yake kwangu. Pia hakuna mtu mwenye access na simu yangu zaidi yangu Mimi mwenyewe kwa miaka yote na ina password.
Pia Nimekuwa nikitumia GB WhatsApp.
Habari ndugu zangu.
Jioni ya leo nimekuwa nikipokea simu kutoka kwa watu nisiowafahamu, wakidai kuwa wamepokea ujumbe kwa njia ya WhatsApp kutoka kwenye namba yangu unaozungumzia nafasi za kazi. Ujumbe ambao binafsi siufahamu na sijaandika chochote katika WhatsApp yangu siku ya Leo.
Cha ajabu...
Ebu kabla ya kumuoa, fuatilia kwanza huyo mwanaume aliyemzalisha watoto 3 kwann kamuacha/wameachana..? Ukipata majibu mazuri ya hili swali, just follow your heart brother. But you are going to be a victim kwenye hayo mahusiano. Mwanamke anakuja kwako kimkakati, ukizingatia na age group ya hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.