Recent content by makaghari

  1. M

    Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

    Boss kwani wanatakiwa wazae au kuolewa wakiwa na miaka mingapi kwa mtazamo wako..?
  2. M

    Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

    Uhifadhi sio tatizo. Swali ni je, watu wanahamishwa na kupigwa ili eneo apewe muwekezaji..????
  3. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Nilikuwa natumia moja tuu mkuu ambayo Ni GB WhatsApp. Lakini kinachoniumiza kichwa Ni huo ujumbe uliotumwa kwa watu.
  4. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Yaani Mimi wanadai nimewatumia Tangazo la nafasi za kazi kwamba malipo Ni elfu 50 kwa siku. Nimeshtuka Sana ambapo wakati naongea na mtu mmoja nikasikia mwingine pembeni anamuuliza kuwa "kumbe na wewe amekutumia?" Cha ajabu kila anaenipigia simu hakuna hata mmoja ninaemfahamu Wala alieko kwenye...
  5. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Hata Mimi nahisi labda Hawa GB WhatsApp ndiko watu hufanya ukora. Yaani nime-unisntall haraka Sana wakati nikitafuta ufumbuzi mwingine.
  6. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Hata Mimi nahisi labda Hawa GB WhatsApp ndiko watu hufanya ukora. Yaani nime-unisntall haraka Sana wakati nikitafuta ufumbuzi mwingine.
  7. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Ni hatari ndugu yangu, hii teknolojia inamambo mengi Sana. Nimepokea sim kutoka kwa watu naulizwa kitu ambacho hata sijui chochote.
  8. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Mkuu sijawahi kutumia simu/computer ya mtu, sijabadili sim card kuweka kwa mtu Wala mtu kuweka simcard yake kwangu. Pia hakuna mtu mwenye access na simu yangu zaidi yangu Mimi mwenyewe kwa miaka yote na ina password. Pia Nimekuwa nikitumia GB WhatsApp.
  9. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Nimewapigia Voda wakasema wao hawawezi kufahamu Ni Nani amefanya hivyo unless Kama ingekuwa hajatumia njia ya WhatsApp.
  10. M

    Msaada wa haraka kuhusu WhatsApp yangu kudaiwa kutuma sms ambazo sijatuma mimi

    Habari ndugu zangu. Jioni ya leo nimekuwa nikipokea simu kutoka kwa watu nisiowafahamu, wakidai kuwa wamepokea ujumbe kwa njia ya WhatsApp kutoka kwenye namba yangu unaozungumzia nafasi za kazi. Ujumbe ambao binafsi siufahamu na sijaandika chochote katika WhatsApp yangu siku ya Leo. Cha ajabu...
  11. M

    Kumuoa huyu nafanya kosa tena au nibahatishe tu

    Ebu kabla ya kumuoa, fuatilia kwanza huyo mwanaume aliyemzalisha watoto 3 kwann kamuacha/wameachana..? Ukipata majibu mazuri ya hili swali, just follow your heart brother. But you are going to be a victim kwenye hayo mahusiano. Mwanamke anakuja kwako kimkakati, ukizingatia na age group ya hao...
  12. M

    Kumuoa huyu nafanya kosa tena au nibahatishe tu

    Technically huyu mwanamke Ni mjanja Sana.!
Back
Top Bottom