Muache aende ndugu. Amani yako Ni muhimu kuliko chochote. Anaweza kukuona unakuwa kero kwake wakapanga kukudhuru.
Ndoa iliumbwa kwa ajili ya faraja, Kama imegeuka mwiba jiokoe mapema.
Nadhan ipo haja ya CDM kufanya kile walichofanya CCM 2015. Walete mtu ambae wanaona upepo wake hautaendeleza "minyukano" baina Yao. Ila mwenye ushawishi na mwenye kukubalika katika Chama Chao. Na huyo mtu ashindane na Yule mgombea wa kwanza ambaye hazungumzwi Kama wanavyozungumzwa TAL & FAM
" mke Wang hata Mimi najiuliza ilikuaje nikakuoa ukiwa bado mdogo. Naona Ni muda sahihi urudi nyumbani wakakuozeshe kwa mtu anaekuzidi miaka miwili ili usiendelee kuteseka hapa kwangu na mzee Kama Mimi"...Kaka unakwama wapi..?? Mahari hutafutwa na hata Mke pia hutafutwa, mwache aendee kuliko aje...
Tiba ya mwanaume Ni mwanamke na tiba ya mwanamke iko kwa mwanaume. Matatizo na Changamoto nyingi za kisaikolojia ukaribu wa kijinsia husaidia kuzivuka.
Yaani inafikia muda unakunywa Sana pombe lakin hulewi hata crate nilikuwa namaliza na hakuna kitu naskia. Ila katika hiyo mihangaiko ya kutafuta kuwa Sawa alitokea Dada mmoja aliepitia makorokoro kibao kwenye utafutaji. So anaelewa maisha, akawa msaada mkubwa Sana kwangu na ndani ya miez 3...
Hiyo Changamoto hutupata wengi katika maisha yetu ya kila siku. Changamoto zisipohusisha maradhi katika familia au kuyumba kiuchumi kwa kiasi flani inasaidia na inakuwa rahisi mtu kupata msaada na kuwa sawa.
I was once in the same situation, Kuna namna pia Mahusiano stable yanasaidia kwa sisi...
Umempa ushauri mzuri Ila tafadhali mchukulie huyu Kama Ni MTU mwenye Njaa hutaji lake kwa Sasa no chakula then atafundishwa mahali na jinsi ya kutengeneza chakula chake mwenyewe..!
Huyu anahitaji aongozwe kufanya ABC kwa Sasa Kama huduma ya kwanza wakati akishauriwa kupata msaada zaidi Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.